Recent content by janfirst

  1. janfirst

    2020 growing retail store business in Tanzania

    By: Khamis Saleh •Staffs are the first Customers and our brand ambassadors •Stand front to remind people about the vision •Let them feel are comprised in that vision •Get time to Know your people, they can cause failure or success •We may have these kind of people, to know them will increase...
  2. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    Pole sana,mungu ampe makazi mema na akupatie mke atakae kupenda na kukudekeza kama alivokupenda mama na kukudekeza
  3. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    kwa kweli ndugu yangu sidhani wala sitaki kuamini kama kweli hii hali ndio inafanya dunia iwe nzuri na sitaki kuamini hilo kwakua bado sijauona huo upande mwengine wala kuuishi,hivyo kama hatujajua utamu wake basi hatuwezi sema kuwa tulionao ndio utamu kweli. Na nitaweza sema sio mzuri kama...
  4. janfirst

    Madoa Matatu Yanayochafua Mioyo Ya Mama Zetu na Kuwaacha Wakiwa Watu Wapweke Zaidi na Kwa Kipindi Kirefu Zaidi ya Baba Zetu.

    No retreat no surrender, Ndugu elewa vizuri na ipitie vizuri kuielewa nahisi kama hujaielewa bado.
  5. janfirst

    Madoa Matatu Yanayochafua Mioyo Ya Mama Zetu na Kuwaacha Wakiwa Watu Wapweke Zaidi na Kwa Kipindi Kirefu Zaidi ya Baba Zetu.

    Je, umewahi kufikiria kuwa Mama ndie kiumbe anaepitia upweke kwa kiasi kikubwa zaidi katika maisha zaidi ya Baba? Ni ukweli usiopingika kuwa mama ndie namba mbili baada ya Mungu muumba wetu alieumba ulimwengu, kwani mama ndie binaadamu anaechukua nafasi kubwa zaidi katika kuja kwetu duniani...
  6. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    Ameen! Endelea kumueka pembeni yako,jua zaidi furaha zake,jua simanzi zake,jua ndoto na matarajio yake,kwa hakika she hold the much and amizing bless for us...Thank you 👊
  7. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    Kabisa yani uko sahihi asilimia zote,tuwaoneshe mapenzi watumiminie baraka zao na ulinzi.
  8. janfirst

    Madoa matatu yanayo chafua mioyo ya Mama zetu na kuwa acha kuwa watu wapweke zaidi na kwa kipindi kirefu zaidi ya Baba zetu.

    Je, umewahi kufikiria kuwa Mama ndie kiumbe anaepitia upweke kwa kiasi kikubwa zaidi katika maisha zaidi ya Baba? Ni ukweli usiopingika kuwa mama ndie namba mbili baada ya Mungu muumba wetu alieumba ulimwengu, kwani mama ndie binaadamu anaechukua nafasi kubwa zaidi katika kuja kwetu duniani...
Back
Top Bottom