Sor nina swali wadau.... Kuna mtu kapata mkopo ambao ni ada pamoja na mengineyo yote ila majina yalipotoka kwa ajili ya kusain jina lake halikuwepo ila ya wenzake wote kwenye BED yake majina yao yametoka alipoenda ulizia akaambiwa majina yote yametoka wakamwangalizia tena wakakuta mkopo anao...
Vumilia tu na uwe makini mbona wengine tulisajiliwa siku ileile ya kwanza na mambo ya maform unayosema yalikuwa ivoivo kwanzia siku ya kwanza,,,, jitahidi utafanikisha tu
Roho mbaya hiyo bhana et kwasababu wewe umepata changamoto ndio unataka na mwenzako aipitie badala utaman ipate ufumbuzu,,, sasahata wasipopata huo mkopo hadi 12 na wewe ukaendelea kukosa ina faida gan au ndio kifo cha wengi hakiumii ,,,,, hebu mjibu huyo mtoto sio kumvunja moyo kihivo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.