Recent content by jamvini_storyteller

  1. jamvini_storyteller

    Kuelekea miaka mitatu ya Rais Magufuli: Tuliomshabikia na kumtetea sasa tunaweza kumkosoa, kuna mahali anatuangusha

    yupo busy anatunga novel za mapenzi. hana tena ujasiri wa kukosoa.
  2. jamvini_storyteller

    Huu Hapa Wasifu wa Sumbula wa Tamthilia ya Sultan. Nimekuwekea kwa Lugha Adhimu ya Kiswahili

    ina episode 139,na episode yake ya kwanza ilianza kuruka hewani january 5, 2011.
  3. jamvini_storyteller

    Huu Hapa Wasifu wa Sumbula wa Tamthilia ya Sultan. Nimekuwekea kwa Lugha Adhimu ya Kiswahili

    wanzetu talent zao huenda sambamba na elimu.kwetu ni the opposite way, talent huenda sambamba na ushirikina. unakuta(mfan) striker mkali kama ibrahim hajib, kabla hajaingia uwanjani, ananuizia maneno fulani ya kishirikina ili afunge goli.
  4. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Ibrahim Pasha wa Tamthilia ya Sultan

    JamiiForums - Where we Dare to Talk Openly
  5. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Mwanadada Hurrem Sultana wa Tamthilia ya Sultan

    JamiiForums - Where we Dare to Talk Openly
  6. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Ibrahim Pasha wa Tamthilia ya Sultan

    hii tamthilia sio wanaume wa dar pekee yao, ni tanzania nzima na watz waishio nje ya nchi. kuna familia za watanzania zinazoishi huko middle east, europe na america wanaifatilia sana tamthilia hii kupitia application ya azam tv. huwa wanatuma sana maoni kupitia uongizi wa azamtv. sultan ni...
  7. jamvini_storyteller

    Huu Hapa Wasifu wa Sumbula wa Tamthilia ya Sultan. Nimekuwekea kwa Lugha Adhimu ya Kiswahili

    mashabiki wa sumbula na team hurrem sultana nawakaribisha.
  8. jamvini_storyteller

    Huu Hapa Wasifu wa Sumbula wa Tamthilia ya Sultan. Nimekuwekea kwa Lugha Adhimu ya Kiswahili

    Sumbula ni Character iliyojipatia umaarufu mkubwa miongoni mwa watazamaji wa tamthilia ya Sultan nchini tanzania. Tamthilia hii huonyeshwa kwenye King'amuzi cha AzamTv kupitia chaneli yao ya Azam Two. Jina lake ni Selim Bayraktar, amezaliwa mwezi wa saba mwaka 1975 katika mji wa Kirkuk...
  9. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Ibrahim Pasha wa Tamthilia ya Sultan

    seneta acha masihara pls.[emoji23] pasha ameweka kibindoni degree mbili za masuala ya sanaa. huyo gabo ukiondoa zile mbwembwe za nahau na misemo yake ya kiswahili iliyojaa ujanjaujanja, ana nini cha zaidi?.
  10. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Mwanadada Hurrem Sultana wa Tamthilia ya Sultan

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  11. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Mwanadada Hurrem Sultana wa Tamthilia ya Sultan

    anayeigiza sauti ya valide sultana ni muigizaji wa kitanzania anayefahamika kwa jina la godliver. huyu hapa...kama hutojali m-follow instagram. NB: ukiondoa mastaa wa bongo movie wanaofamika sana kwa maskendo ya hapa na pale,sauti ya kiswahili katika tamthilia ya sultan inaigizwa na wasanii...
  12. jamvini_storyteller

    Huyu ndio Mwanadada Hurrem Sultana wa Tamthilia ya Sultan

    shukrani sana.asante kwa kuni-aknowledge. tayari nimeshachia thread inayohusu wasifu wa muiguzaji ibrahim pasha. Huyu ndio Ibrahim Pasha wa Tamthilia ya Sultan. - JamiiForums karibu.
Back
Top Bottom