Recent content by jameson567

  1. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kanisa lake kufungiwa, kifuatacho ni kuvuliwa uanachama wa CCM na kukosa sifa za kuwa Mbunge ili asipate Mafao yake ya ubunge

    Sasa kati ya Gwajima na watekaji/wauaji anaowakomalia ni nani anayehatarisha amani ya nchi/wananchi!?.. Kuna muda nakumbuka usemi wa Moi aliposema Nyerere anaongoza maiti.
  2. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Serikali yalifutia usajili Kanisa la Askofu Gwajima kwa kuingilia masuala ya siasa kwa nia ya kuichonganisha Serikali na Wananchi

    Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!? Ibada inaendelea Kanisani muda huu kuwaombea wauaji wajitokeze wenyewe.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kanisa lake kufungiwa, kifuatacho ni kuvuliwa uanachama wa CCM na kukosa sifa za kuwa Mbunge ili asipate Mafao yake ya ubunge

    Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Baada ya Kanisa lake kufungiwa, kifuatacho ni kuvuliwa uanachama wa CCM na kukosa sifa za kuwa Mbunge ili asipate Mafao yake ya ubunge

    Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
  5. J

    JamiiForums Tanzania Alikosea FAZA Kitima akapigwa, kwa Nini akosee Gwaji lipigwe Kanisa?

    Tunavyoongea muda huu Ibada ya kuwaombea wauaji inaendelea Kanisani, muda ukifika mtamuelewa GWAJIMA ni mtu wa namna gani!!
  6. J

    JamiiForums Tanzania Alikosea FAZA Kitima akapigwa, kwa Nini akosee Gwaji lipigwe Kanisa?

    Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
  7. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sheikh Issa Ponda: Tunakuwa na taifa la namna gani kama mtu anachukuliwa tu nyumbani kwake na kwenda kuuliwa?

    Wale waliomponda Gwajima kwa itikadi za udini akina Zitto na Fatma Karume huwezi kuwaona waki tweet kuhusu tukio hili. Uzuri muda utafika ukweli utajulikana, mbivu na mbichi.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Utekaji, Gwajima analijua tatizo lilipo, lakini hajui kuwa anajua

    Mnatembelea nyota ya Gwajima, wewe tumia njia unayoona inafaa kufikisha ujumbe, tutakujadili pia. Kwasasa wengi tumekubaliana na kuielewa njia aliyoamua kuitumia Bishop Gwajima. Mkiona mtu ana trend mnatoka mafichoni kwa kupokezana.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu kavuliwa nguo badala ya kuchutama kainama

    Hakuna aliyejibu hoja za Gwajima hata mmoja. Mungu ni mwema sana, Gwajima ametufanya tujue hata ID za WAPUMBAVU na watu wenye IQ ndogo sana, kuanzia Jamii Forums hadi mitaani. Mtu mwenye uelewa hujibu hoja kwa hoja, Tabulalasa hukimbilia udini na sababu binafsi zisizoeleweka.
  10. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Gwajima: Sitayumba, sitabadilika na wala sitabadili msimamo!

    Muda sio mrefu tutahitaji VPN kuingia YouTube 🤔
  11. J

    JamiiForums Tanzania TCRA yapiga marufuku watanzania mitandaoni kusambaza maudhui youtube ,WhatsApp nk ya wakenya nk ya kutukana Tanzania au Raisi

    Unajiita Dr Akili lakini huna akili., kwa akili zako unaamini kuna utaratibu wa ku search simu na PC za watu utaanzishwa ili kujua aliyesambaza ujumbe usiofaa!?, Dr gani wewe!?, waweza kuwa Dr. kweli lakini ukishaanza uchawa unakuwa huna tofauti na Mwijaku..
  12. J

    JamiiForums Tanzania Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Huyu jamaa sio mtu wa kawaida..
  13. J

    JamiiForums Tanzania Ni mapngo maalumu kuweni makini

    Huyu kachukua kisa kimoja kafanya ni tatizo la jamii yote. Anaongea vitu ambavyo haviwezekani, watu wapo bize kutafuta riziki, muda wa kudhoofishana kidini utoke wapi!?,..
Back
Top Bottom