Sasa kati ya Gwajima na watekaji/wauaji anaowakomalia ni nani anayehatarisha amani ya nchi/wananchi!?.. Kuna muda nakumbuka usemi wa Moi aliposema Nyerere anaongoza maiti.
Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
Ibada inaendelea Kanisani muda huu kuwaombea wauaji wajitokeze wenyewe.
Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
Kanisa halijafungiwa, zile ni FAKE NEWS, hata ule Uzi Mods wameshapita nao, kama unabisha utafute. Barua gani inaandika IJP badala ya IGP!?, na haina sahihi yoyote!?
Wale waliomponda Gwajima kwa itikadi za udini akina Zitto na Fatma Karume huwezi kuwaona waki tweet kuhusu tukio hili. Uzuri muda utafika ukweli utajulikana, mbivu na mbichi.
Mnatembelea nyota ya Gwajima, wewe tumia njia unayoona inafaa kufikisha ujumbe, tutakujadili pia. Kwasasa wengi tumekubaliana na kuielewa njia aliyoamua kuitumia Bishop Gwajima. Mkiona mtu ana trend mnatoka mafichoni kwa kupokezana.
Hakuna aliyejibu hoja za Gwajima hata mmoja. Mungu ni mwema sana, Gwajima ametufanya tujue hata ID za WAPUMBAVU na watu wenye IQ ndogo sana, kuanzia Jamii Forums hadi mitaani. Mtu mwenye uelewa hujibu hoja kwa hoja, Tabulalasa hukimbilia udini na sababu binafsi zisizoeleweka.
Unajiita Dr Akili lakini huna akili., kwa akili zako unaamini kuna utaratibu wa ku search simu na PC za watu utaanzishwa ili kujua aliyesambaza ujumbe usiofaa!?, Dr gani wewe!?, waweza kuwa Dr. kweli lakini ukishaanza uchawa unakuwa huna tofauti na Mwijaku..
Huyu kachukua kisa kimoja kafanya ni tatizo la jamii yote. Anaongea vitu ambavyo haviwezekani, watu wapo bize kutafuta riziki, muda wa kudhoofishana kidini utoke wapi!?,..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.