Recent content by jamesi10

  1. jamesi10

    Rungu la Marehemu Pembe kupewa Samia

    Vitu vingine kutaka sifa tu sasa rungu la nn kwa rais .. huyu mama washamfanya km bibi
  2. jamesi10

    Hotuba Ya Rais Samia Yapongezwa kila Kona Mitaani, Yawakosha na kuungwa Mkono na Watanzania

    Hv kwann usijisemee wewe mwenyewe unatujumlishaje na sisi nani amekwambia imepongezwa
  3. jamesi10

    Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani

    Wengine tunapenda wake zetu wawe hvo chumbn wewe unakataa
  4. jamesi10

    Swali lenye Mantiki: Siku Mbowe akitekwa na kupotezwa Makamanda wa CHADEMA mtafanyaje?

    Hapo sio makamanda wa chadem ni kutaka kufanya nchi ichafuke
  5. jamesi10

    Orodha ya Watanzania maarufu waliokufa bila kujenga nyumba

    Mbona apo T I D hayupo nasikia nae anakaa kwa mama ake mpk leo
  6. jamesi10

    Wadada wa Saluni Sitaki Uchokozi Wenu

    [emoji23][emoji23][emoji23]pole ndg yang
  7. jamesi10

    Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

    Yan hapa amna aliyetoa siri hzi zoote n kawaida ila kila mtu anayo kubwa kuliko asikwambie kila mtu anaoukurasa wake ataki usomwe kwa sauti hata iweje hyo inabaki kuwa aibu yake milele
  8. jamesi10

    Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

    Nakumbusiku siku nilichapwa viboko 21 aisee acha kabsa sijawaii na sitasahau yule mwali sema mungu amlaze pema pepon alikufa kwa presha baada ya mzee magu kuwatumbua wale wa vyeti feki na ukitazama alikua anakaribia kustaafu
  9. jamesi10

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau mwenye nyimbo ya juma nature ft manzese crew OFISIN NI MIGUU naomba
  10. jamesi10

    Mzungu akikupa cha bure kwa mkono wa kulia piga jicho mkono wake wa kushoto

    Kwanza ungekuta imeisha maana yupo aliyegunduaga dawa ila akafa na haikujulikana nn chanzo
  11. jamesi10

    Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

    Na maisha haya pesa ilivo ngumu inabidi iheshimiwe bhana huyo n jin mfilisi shtuka bro
  12. jamesi10

    Hawa wanawake wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom