Yan hapa amna aliyetoa siri hzi zoote n kawaida ila kila mtu anayo kubwa kuliko asikwambie kila mtu anaoukurasa wake ataki usomwe kwa sauti hata iweje hyo inabaki kuwa aibu yake milele
Nakumbusiku siku nilichapwa viboko 21 aisee acha kabsa sijawaii na sitasahau yule mwali sema mungu amlaze pema pepon alikufa kwa presha baada ya mzee magu kuwatumbua wale wa vyeti feki na ukitazama alikua anakaribia kustaafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.