nape ni mfa maji haishi kutapatap anashindwa kumwaga sera eti kwa akili zake ndogo anafikili atawagombanisha ukawa amechemka watu wameamka hawadanganyiki tena hata atume mamuruki hatafanikiwa aendelee kuropoka tu ni kawaida yeke
mleta mada unamatatizo ya akili huhitaji kwenda shule kujuwa majambazi wakubwa wa nchi hii ni akina nani wanakunwya chai bil 1wewe sijuwe kama leo umefungua kinywa pole yako nenda lumumba kachukue buku 7
huko musoma wanchi wanalala polini kisa maabala huku presdar nakula kuku kwa wachina ccm ili washike adabu 15 ni kuwatupa dampo wamezidi kunyanyasa wananchi
maccm ndivyo yalivyo hayasomi alama za nyakati mtz wa leo sio wa jana huyo jamaa namshauli andelee kupokea kapelo na buku teni huku mama na baba yake wanatembea ------ wazi na kupekua wewe na nali ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.