Recent content by James Kisusange

  1. James Kisusange

    Swali kwa LEMA: Ulifanya wapi utafiti kuwa wakazi wa Dar kuongoza kwa kula miguu umeufanya lini?

    wala huitaji bajet kubwa ni simple research.by observation,nenda mikocheni A. mitaa ya chama pale kama unakuja soko gezaulole miguu ndio chakula pamoja na vichwa,inaungwa vizuri na nyanya hiyo ndio lunch n ugali au wali,nenda msasani na mwananyamala ni style hiyohiyo ,mimi sio mwanasiasa ila kwa...
  2. James Kisusange

    Airtel kwanini mnaniibia?

    mimi jana wamenipa dakika na sms bundle ya internet wakanichakachua ilibaki 0byte vilevile ,hawa wameanza ujambazi
  3. James Kisusange

    Swali kwa LEMA: Ulifanya wapi utafiti kuwa wakazi wa Dar kuongoza kwa kula miguu umeufanya lini?

    Achana na inayochomwa barabarani ukienda uswahilni maeneo ya mkocheni A,Msasani,nk miguu ya kuku wa kizungu ni mboga ya mchana na usiku ya kula na ugali au wali,utumbo unasokotwa vzuri unakaangwa kipande mia tu,sasa jamaa anaetaka utafiti akajionee sio anataka aafuniwe tu atapata divsion V
  4. James Kisusange

    Sababu zangu za kutotoa pole/rambirambi kwa msiba wa mh. Mgimwa

    Halo samurai ungejua pale urafiki watanzania wenzako wanavyoumia ungeomba kiwanda kile kifungwe mara moja
  5. James Kisusange

    Mengi: Prof. Muhongo ni muongo

    Hallow mimi nilikubali speech za prof. Ni kweli tanzania inaumizwa na watanzania kwani mengi katika speech yote ya prof. Ameona la kujibia ni hili la dar es salaam tatu?vipi kuhusu zile gharama za uwekezaji anazimudu?watu wampatie?mimi naona mengi ni walewale tu kulilia maslahi yake,kwani...
  6. James Kisusange

    Nokia lumia 920

    Mwanafyale umenena baba
  7. James Kisusange

    Ukimya wa upinzani katika Matukio yanayotokea nchini, kulikoni?

    Kumbe na wewe ni chokochoko,sasa ulitaka nani atoe tamko zaidi ya wale maaskofu ambao ndio viongozi?,hivi unapoharibu kanisa ndio suruhisho?,kwanini wasingeenda pale ubungo wakanunua biblia bei rahisi tu wakaikojolea?,hasara kubwa unayosababisha kwa sababu dhaifu ndio mungu alivyowatuma?,mnaacha...
  8. James Kisusange

    Dar: Mihadhara ya kidini yapigwa marufuku!

    Kabisa ndugu maana wakishamaliza shughuri yao ya kupondea ukristo na kuikosoa biblia na uchafu wao mwingine ambao hauna tija wanapitisha kikapu kuomba sadaka,sasa sijui wanaipeleka wapi zaidi ya kuitafuna,nimeshuhudia hiyo mwenge,bunju,wapigwe marufuku ata vurugu zikiisha,wakafanye misikitini.
  9. James Kisusange

    Watoto wa Wasira waliojiunga CHADEMA watoa ufafanuzi juu ya uhusiano wao na Waziri Wasira

    Kama ulitazama ITV siku ile ilielezwa wazi kabisa ni watoto wa ndugu yake waziri wasira,sasa sijui ilikuwaje yamekuwa mazito,labda siku hizi habari ni chache.
  10. James Kisusange

    Anayebeza haya maendeleo basi hana nia njema na nchi yetu.

    Nategemea majibu kutoka kwa mtoa thread tena concrete answers sio ubabaishaji.
  11. James Kisusange

    Chande: Hukumu ya Lema itahamishiwa Dar es Salaam

    Unanikumbusha kipindi fulani cha Capital television kinaitwa"THEY MUST BE MAD",nilikuwa nakipenda sana.
  12. James Kisusange

    Nipeni ufafanuzi wa Upendo wenu kwa Lema

    Siasa inahitaji darasa,na njia pekee ya kulikomboa jimbo sio propaganda ni kutekeleza ahadi,mfano CCM si walitoa ahadi arusha ingawa mbunge ni wa CDM wanaweza kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kupitia serikali,mimi ningependa wananchi wachague wabunge wa upinzani na kupitia hilo serikali...
  13. James Kisusange

    Edward Lowassa: Bora kuwa na Rais kama Kagame ili tuendelee

    Just be flank,hivi unaweza kumfananisha lowasa kiuongozi na hao wengine?,jamaa alikuwa sio mchezo,pamoja na mapungufu aliyonayo bado record yake ya utendaji haijaweza kuvunjwa ndani ya miaka yake miwili ya uPM.
  14. James Kisusange

    Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

    Ukitaka mwanamke mzuri mvizie wakati anatoka kulala asubuhi na mapema.
Back
Top Bottom