Maigizo tu, hakuna cha kuguswa na msiba. Nyinyi ndo, wahusika no, 1.acheni uchu wa madaraka.mungu atawaumua siku ya mwisho.huwe kutawala kwa kumwaga dam.jamani!Tanzania ni bora zaidi kuliko mnachotuulia.
Mnashindwa kupambana na majambazi mnapambana na raia asiye na siraa, nisawa kupigana na mtu aliyefungwa mikono na miguu, alafu unajisifu kuwa umempiga. Polis mjitafakari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.