Recent content by james katto

  1. james katto

    Polepole: Hata Mungu hakutaka upinzani ndiyo maana alimfukuza shetani mbinguni

    Polepole kalewa madaraka.kamsahau mungu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. james katto

    SERIKALI: Tumepata pigo kifo cha Mwanafunzi NIT, tutagharamia msiba na mazishi

    Uliua hili uzike uonyeshe umaarufu?muogopeni mungu.huwezi ua binadam, ukazani utaoga utakate.dam, itawaghalim mpaka vizazi vyenu na vitukuu.
  3. james katto

    Rais Magufuli asikitishwa na kifo cha Mwanafunzi wa NIT, aliyeuawa na Polisi

    Maigizo tu, hakuna cha kuguswa na msiba. Nyinyi ndo, wahusika no, 1.acheni uchu wa madaraka.mungu atawaumua siku ya mwisho.huwe kutawala kwa kumwaga dam.jamani!Tanzania ni bora zaidi kuliko mnachotuulia.
  4. james katto

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Mnashindwa kupambana na majambazi mnapambana na raia asiye na siraa, nisawa kupigana na mtu aliyefungwa mikono na miguu, alafu unajisifu kuwa umempiga. Polis mjitafakari.
  5. james katto

    Hatimae Polepole awaangukia Maaskofu

    Nadhani shetani ndo,uvizia kisirisiri.huyo nae anatakakutimiza kazi ya shetani. Nivigum kwa Askofu anaejua kazi yake kumtemea binadam.
  6. james katto

    Ujumbe kwa makada wote wa CCM wanaomkashifu Askofu Zakaria Kakobe na maneno yake

    Daima mashetani hawawezi kuunga mkono agizo la muumba. Wao, hupinga tu, hilikutimiza ushetani wao.
  7. james katto

    Inakuwaje CCM ndiyo wanauchoka uenyekiti wa Mbowe?

    Gubu la wifi hilo, ccm, bwana, wanamambo.
  8. james katto

    Polepole: CCM katiba sio muhimu, tunataka kwanza wananchi wawe na chakula mezani washibe ndio muhimu

    Kwakuwa wwe ulishashibishwa. Ulipokuwa hoi, kila siku kwenye tv. Unalalamikia katiba. Polepole, muogope mungu.
  9. james katto

    Ni sahihi kwa mbunge kuinanga serikali yake akiwa nchi jirani?

    Mnapozia watu wasiseme ndani ya nchi yao watasemea wanapoona panafaa. Nguo, mmejivua weyewe mnapoanza kuua raia wenu, mnajiona badommevaa?
Back
Top Bottom