😀😀 wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa. Swali langu ni je, kimataifa siyo nje ya nchi? Sijui shida yetu waTanganyika ni ipi. Mambo ya nje ingetosha maana hata ukiwa Rwanda, Kenya, USA, UK, Brazil, Zambia, India etc bado ziko confined within...