GHIBUU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 4,432
- 3,016
Mapambano yanaendelea, kama ccm ingesikiliza maoni ya wananchi juu ya katiba mpya ya wananchi haya tungesahau. Lkn kwa ubabe wa ccm kujifanya wana hati miliki wa nchi ndio huzaa matunda haya. Utengano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app