Habari zenu ndugu zangu,
Nakuja mbele yenu ndugu zangu kuomba kazi/ajira kama nilivyoandika hapo juu.Naomba msaada wenu ndugu zangu.
Elimu yangu:-
1. Bachelor of Arts in Microfinance and Enterprise Development
2. Diploma in Cooperative Management and Accounting
3. Certificate in Management...
Habarini wakuu,
Mwenye connection wakuu..
Elimu:-
1.Bachelor of Arts in Microfinance and Enterprise Development
2.Diploma in Cooperative Management and Accounting
3.Certificate in Management and Accounting
Nina uzoefu wa miezi takriban mitatu kwenye SACCOS
Habari zenu wadau?
Ninatafuta mtu anaekijua au anaesoma hapo IJA ninataka nimpeleke ndugu yangu kusoma hapo ila sijapata information za kutosha, naomba unichek hata PM.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu
Nilikuwa najaribu kuingia tcu kuchek kama Niko selected imeniletea hivyo na nimeingiza form 4 index na e-mail pia majibu ni hayo hayo..Nisaidieni ina maana gani hii??
Habari zenu ndugu zangu??
Kujaza Watu kwenye Mikutano ya KAMPENI haina maana sana, kwani kinachohitajika ni KURA kwa mgombea wako.
Nashangaa kuona watu wanajibizana kuwa huyu kajaza watu yule hajajaza watu lakini wanasahau kuwa kitakachomuingiza IKULU huyo Mgombea ni KURA.
Hili suala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.