Recent content by JamalChademaHussein

  1. JamalChademaHussein

    Zitto mbabe wa Bungeni, hakususia hotuba ya Rais

    Ahaha Anajisumbua Tu..anatujua vizuri hiki chama has? CDM huwaga hakina mchezo
  2. JamalChademaHussein

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    Daaaah Ukawa Tumepoteza mtu muhimu sana....Huu msiba mkubwa SANA KWETU UKAWA.
  3. JamalChademaHussein

    Hasira za nini Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete?

    Walishamkata sasa kama na yeye lowassa alikuwa ana ndoto ya kuwa Rais..basi atakuwa maana Kaja Ukawa na kwa sasahakuna namna nyingine Ni lowassa tu ndie atakaye tuvusha katika Lindi la ujinga huu ulioachwa na chama cha kishenziiiiiiii ccm.. Pili raia wapo wengi kuliko polisi, wataua wangapi...
  4. JamalChademaHussein

    Wenje aitikisa Mwanza, Mtaa wa Mabatini kazi zimesimama kwa muda

    Ama kweli ccm ni gari bovu..na ni debe tupu sasa hadi mwiru ametoka??? kizee hiki cha heshima kubwa nchini utaona sasa kinavyotukanwa.
  5. JamalChademaHussein

    Matukio makubwa mawili yaliyotokea leo Oktoba 4, 2015 yanatufunza nini?

    Yanatufunza mambo makuu mawili..Mungu yupo na la pili Vyama ni kama big G
  6. JamalChademaHussein

    Tumeshamjua ni nani ana kampeni za kistaarabu! Anapata kura zetu

    Hana muda wakujibu hoja chafu na siasa nyepesi, ni kutangaza ilani tu kwa kwenda mbele, Kama hawasikii vile kumbe anawaona hawana busara..Tunamjua ndie atapata kura zetu kwa kishindo
  7. JamalChademaHussein

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dr. Magufuli jimboni Chato, Geita - Septemba 20, 2015

    ifikie hatua Mkue muuche ujinga,kitu kiko wazi unataka kuanzish mjadara usio na maana,cha ujinga kua kiakili wewe.
Back
Top Bottom