Recent content by Jamal naeem

  1. J

    Lady Jay Dee azidi kujitenga na Gadner!

    na wewe umezidi umbea hadi hayo unayajuwa.
  2. J

    Wito kwa Wazalendo Nchi nzima Kupinga Rasimu ya Sitta

    Walichofanya CCM kitaalamu huitwa political acrobatic.
  3. J

    Samuel Sitta ampa nafasi Hamad Rashid kumtukana Maalim Seif

    Tutasikia mengi mwaka huu bado mchakato unaendelea Zanzibar na Tanganyika mwisho wa siku lazima zipatikane ndio hoja ya msingi nyinyi wanasiasa endeleeni kutoa aibu zenu sisi Wananchi tuzipime kwenye sanduku la kura.
  4. J

    Rais Kikwete: Nipo tayari kukutana na UKAWA

    Hayo maneno kayasema kama rais au raia maana hachelewi kubadilika huyo.
  5. J

    Asante sana IPP Media - ITV, Radio one, Capital radio

    Miaka 20 ya ufanisi tunajivunia kuwa na radio one na ITV mungu awabariki sana kwenye kazi zenu.Ukawa tupo pamoja musijali hizi ni zama za mwisho za Maintarahamwe.
  6. J

    Hakika Christian Bella is the king of best melody in Tanzania

    Oyaaa hizi pumba peleka facebook kule.
  7. J

    Hakika Christian Bella is the king of best melody in Tanzania

    Oyaaa hizi pumba peleke facebook kule.
  8. J

    Allan Lucky wa Skonga

    Habari zenu wanajamii, Huyu kijana wa kuitwa Allan lucky alikuwa anafanya kazi EATV lakini kwa sasa jamaa kavuka boda anafanya kazi Kenya. Kuna hichi kipindi cha Skonga EATV yeye ndiye alikuwa mpango mzima. Lakini toka jamaa asepa zake na hichi kipindi chake naona kimesepa siku hizi hakina...
  9. J

    Joyce Kiria: Ushauri wa bure kwa akina bushoke majumbani mwetu tumewachoka

    Joyce kiria ni mnafiki sana afanye mambo ya wanawake live ila haya ya wanaume live atuachie wenyewe.
  10. J

    Kessy: Naweza kuizunguka Zanzibar yote kwa baiskeli

    Ni aibu kuna na wabunge kama hawa.
  11. J

    NCCR - MAGEUZI kuivaa CHADEMA uchaguzi mkuu ujao Jimbo la Nyamagana

    Sina wasiwasi maana yote ni Ukawa hiyo.
Back
Top Bottom