Recent content by jamaafulanihivi

  1. J

    Mimi ni Jamii

    ila tusijisahau sana tuka live for jamii as well
  2. J

    Yanga imekwama Kimataifa?

    bado nafasi tunayo na ndio maana tunaondoka mapema ili tukazoee mazingira na kufanya mazoezi kwa nguvu
  3. J

    FT: Azam FC 1-0 Simba SC | NBC League, 28/10/2022

    wamechana mkeka wangu sitaki kusikia
  4. J

    Wapi naweza kupata yale magari ya maji safi ya bomba kwa bei nafuu?

    Kwa ndugu zangu wakazi wa Dar es salaam wilaya ya Kinondoni, ni wapi naweza kupata yale magari ya maji safi ya bomba kwa bei nafuu?
  5. J

    Kariakoo Derby (Watani wa Jadi)

    Tuone msimu huu kama Yanga wataendelea kuatembezea kichapo watani wao.
  6. J

    Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Ni huzuni kwakweli
  7. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau, kwema? Hivi ni kampuni gani yenye huduma na ofa nzuri kwa wateja wake?
  8. J

    Sadio Mane apata tuzo ya Socrates kutokana na mchango wake katika jamii

    Sadio Mane apata tuzo nyingine ya Socrates kutokana na mchango wake kwa jamii. --- Sadio Mane has received France Football's inaugural Socrates Award, in recognition of his charity work in his native Senegal. Mane, 30, is accustomed to writing headlines on the pitch, but it's his continued...
Back
Top Bottom