Malalamiko ya Mgawanyo wa Walimu Kupitia Njia Mpya ya Uajiri ya Ofisi ya Rais Katika Utumishi wa Umma:
Katika mchakato wa uajiri wa walimu unaofanywa na Ofisi ya Rais Utumishi, kumekuwa na malalamiko makubwa kuhusu mgawanyo wa walimu katika vituo vya kazi vya shule. Mfumo huu mpya umeleta...
Katika hali ya sasa ambapo ukosefu wa ajira kwa vijana nchini Tanzania unazidi kuongezeka mwaka hadi mwaka, inasikitisha kuona kwamba serikali bado inaajiri watumishi wa umma, hususan walimu, kushiriki kwenye ajira za muda kama vile kusimamia uchaguzi, sensa, au kuandikisha majengo. Hii imekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.