Recent content by Jamaa Fulani Mjuaji

  1. Jamaa Fulani Mjuaji

    Mtumishi wa umma jitahidi ukope kwa awamu zenye muda mfupi mfupi

    Kuna mwalimu namjua kabaki na 180000 na ana survive nahisi walimu wana Ujinga kuliko kada zote
  2. Jamaa Fulani Mjuaji

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Bado mnagawa Likes nataka na Followers nalipia 10k kwa followers 100
  3. Jamaa Fulani Mjuaji

    Hakuna usawa katika upangaji wa ajira za watumishi wapya makazini 2025 chini ya Ofisi ya Rais Utumishi

    Malalamiko ya Mgawanyo wa Walimu Kupitia Njia Mpya ya Uajiri ya Ofisi ya Rais Katika Utumishi wa Umma: Katika mchakato wa uajiri wa walimu unaofanywa na Ofisi ya Rais Utumishi, kumekuwa na malalamiko makubwa kuhusu mgawanyo wa walimu katika vituo vya kazi vya shule. Mfumo huu mpya umeleta...
  4. Jamaa Fulani Mjuaji

    Kero kuhusu ajira za muda kwa watumishi wa umma, hususan walimu

    Nani anayemsifia mama umenifananisha au niache kuwaza Maisha na pesa nikae namsifia mama
  5. Jamaa Fulani Mjuaji

    Kero kuhusu ajira za muda kwa watumishi wa umma, hususan walimu

    Sijalenga kumkejeli mtu bali nimesimamia ukweli uliopo
  6. Jamaa Fulani Mjuaji

    Kero kuhusu ajira za muda kwa watumishi wa umma, hususan walimu

    Katika hali ya sasa ambapo ukosefu wa ajira kwa vijana nchini Tanzania unazidi kuongezeka mwaka hadi mwaka, inasikitisha kuona kwamba serikali bado inaajiri watumishi wa umma, hususan walimu, kushiriki kwenye ajira za muda kama vile kusimamia uchaguzi, sensa, au kuandikisha majengo. Hii imekuwa...
  7. Jamaa Fulani Mjuaji

    Wazazi tumefeli wapi katika malezi ya watoto wa "2000" tujisahihishe

    Mbona serikali imefungia site za Porno zote mi sioni Telegram nina contact za marafiki tu
Back
Top Bottom