Point moja nimekusoma mr Nkobe kwamba muungano wanajua viongozi wakuu tu but cc wananchi wala hatuna time na muungano!!!!
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
Mm nashindwa kufahamu ni kwa nn hawa jamaa wa colour green wanataka serikali 2 na c 3,ni faida gani wanaipata kutoka zannzibar?
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
Rafiki zangu wa Zanzibar ambao majina yao nayahifadhi wote hawautaki muungano sababu ni kwamba cc Tanganyika tunawanyonya sana na wanataka kutambulika ktk dunia kuwa Zanzibar ni nchi. Jamani tuachane nao hawa kwani wanasaiia nn labda ccm watueleze
Sent from my BlackBerry 9700 using Jamie
Mimi kila siku huwa najiuliza umuhimu wa MUUNGANO huu ambao upande mmoja unalazimisha uwepo na upande mmoja hautaki uwepo.Sasa cha kujiuliza ni kwa nn kikundi kimoja cha siasa cha upande wa bara kinalazimisha kuwepo kwa muungano huu? Watueleze wanapata maslahi gani ktk muungano huu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.