Recent content by jakonya

  1. jakonya

    Suluhisho rahisi kwa wanaodhani wamepungukiwa nguvu, wanaosumbuka kurudia tendo au kuwahi kufika

    Hivi hakuna upungufu wa nguvu za kike? Kila siku nasikia tu upungufu wa nguvu za kiume!!upande wa pili vipi?
  2. jakonya

    Kwa wale wanaohitaji asali mbichi

    Weka picha ya mwafrika achana na ya msungu
  3. jakonya

    Madhara ya nyama iliyosindikwa

    Zote zina madhara kwakuwa chemicals hutumika kusindikwa.
  4. jakonya

    Huyu Housegirl anafaa sana ila sitaki aendelee kufanya kazi hapa home. Mke wangu ni tufani

    Kuna mengine ni kuchukua hatua, sehemu ya kushughulika wewe unaomba,vice versus, tengeneza ndoa yako utaona mabadiliko
  5. jakonya

    Huyu Housegirl anafaa sana ila sitaki aendelee kufanya kazi hapa home. Mke wangu ni tufani

    Kaoe usiogope,kila MTU na mzigo wake,wala usitishike ndoa hutengenezwa.Kwenye ndoa upendo si cha kwanza
  6. jakonya

    Usije ukafikiria kuoa kwasababu ya kupata tendo la ndoa

    Ndoa huendeshwa kwa vitu viwili tu HEKIMA na BUSARA
  7. jakonya

    Kwa wadada wanaosaka ndoa

    Hiyo si ndoa Bali kamchepuko
  8. jakonya

    Kwa wadada wanaosaka ndoa

    Siri kuu ya kupendwa ni kumjali mume,kujua anavaa nini, anakula nini Na aina gani ya chakula anakopenda,hapo mke atakuwa amemuwin mwanaume
  9. jakonya

    Rais Magufuli kumteua Naibu DG wa TISS kuwa Katibu Tawala: Jicho la pili...

    Kila chenye mwanzo hakikosi kuwa Na mwisho
  10. jakonya

    Hii tabia mpya ya dada zetu kusahau kuvaa kufuli naona imeota mizizi huku makazini

    Kuharibiana siku Si vyema,kusema tu hivyo nami jasho jembamba imenitoka ( 8-)
  11. jakonya

    Jamani mimi mgeni

    Usiweke jina lako halisi,na picha tumia mengineyo
  12. jakonya

    Kimtokacho mtu ndicho kilichoujaa moyo wake

    Ndio maana hawataki wanao hoji ,huwenda ukatekwa kusiko julikana,au meno,kucha kunyofolewa.Cos mizigo huwa haiongei
Back
Top Bottom