Recent content by jakolango

  1. J

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    yaaah umeona neno jana ila mikoa Shinyanga, Tabora, Kigoma na Singida hujaiona magamba mtaisoma number
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Dkt. Slaa mjini Kahama - Dec 4, 2013

    ccm bhana hii ndio minazi wanayo lia nao ahaaaa
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hakuna Mgogoro wowote CHADEMA - Zitto Kabwe

    let wait and see
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hospital ya mkoa wa Arusha (Mount Meru) kuna ulinzi mkali

    yangu macho li movie linachezwa
  5. J

    JamiiForums Tanzania Hospital ya mkoa wa Arusha (Mount Meru) kuna ulinzi mkali

    kwanza na hamu ya kula imeniisha baada ya nchimbi kuhusisha wakristo{coz jina alilolitaja tena mmoja kamtaja katika waliowakamata} ndio waliorusha bomu kutoka kumuendesha mlipuaji hadi kufanywa mrushaji, wakristo tusipumbazwe na propaganda za ccm tuchukue hatua
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    but uyu ni dereva aliyemleta mlipuaji vp igeuzwe yeye ndio aliyelipua mungu yupo katika hili safari sii hapa duniani itafahamika ila chadema wawe makini kuna kila dalili ya ccm kuhusika na hili jambo kulitengeneza
  7. J

    JamiiForums Tanzania Bomu Arusha: Mbunge Lema anatafuta ushahidi wa UDINI?

    kwa hotuba ya waziri wa mambo ya ndani mh Dr nchimbi ukiisikiliza kwa makini na watuhumiwa kukamatwa zaidi ya mmoja lakini kutajwa mmoja kwa tena kwa kuwa ana jina la kikristo kuna kitu kimetengenezwa na kinaendelea kutengenezwa chadema wawe makini au wajiandae hii game walikuwa wanaundiwa?
Back
Top Bottom