Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,633
- 5,612
Naamini mnakumbuka kuwa Mbunge wa Arusha mjini, ametakiwa apeleke ushahidi bungeni wa kuthibitisha UDINI wa JIK aun serikali ya JK.
Mara baada ya tukio la Arusha mbunge huyu kajitokeza 'fasta' kuonyesha kwamba lile tukio ni muendelezo wa kile anchoita 'UDINI' wa serikali ya JK!
UDINI wa Lema ni Uislam dhidi ya UKRISTO na si kinyume chake! Ndio maana wakaanzisha theory ' ya mtoto kumuona mtu akiwa na kanzu na koti" as if sehemu hiyo haikuwa na watun wazima wenye akili!
Wafuasi wao hapa JF, wanashadidia hii issue ile mbaya! But what is the motive? Ni kweli CDM itaingia madarakani kwa stahili hii ya kuwa 'partisan' kuegemea upande mmoja?
Au ndo Mheshimiwa mbunge anataka kulitumia tukio hili kama ushahidi wake?
Tafakari na chukua hatua!
Mara baada ya tukio la Arusha mbunge huyu kajitokeza 'fasta' kuonyesha kwamba lile tukio ni muendelezo wa kile anchoita 'UDINI' wa serikali ya JK!
UDINI wa Lema ni Uislam dhidi ya UKRISTO na si kinyume chake! Ndio maana wakaanzisha theory ' ya mtoto kumuona mtu akiwa na kanzu na koti" as if sehemu hiyo haikuwa na watun wazima wenye akili!
Wafuasi wao hapa JF, wanashadidia hii issue ile mbaya! But what is the motive? Ni kweli CDM itaingia madarakani kwa stahili hii ya kuwa 'partisan' kuegemea upande mmoja?
Au ndo Mheshimiwa mbunge anataka kulitumia tukio hili kama ushahidi wake?
Tafakari na chukua hatua!