Kwa mfano mimi mwanakijiji wa lundo huku nyasa kwetu naungaje mkono jitihada za mtukufu!? Nimpost wassapu au instagramuu!? Naombeni mniambie cha kufanya ili nionekane namuunga mkono maana kama sielewi hivi namna ya kumuunga mkono.. au niwaombe wanakijiji wenzangu tumtungie mapambio ya kumsifu!?
Sema mimi siwahitaji kwa sababu wapo wanaowahitaji..kuna watanzania wengi tu maisha yao wanayaendesha kwa kufanya biashara na kenya mkuu..tanzania sio kisiwa..
Kesi ya jamii forums na nyuzi zinazoanzishwa huku hazina mashiko yeyote... basi wafute tu mitandao yote ya kijamii kwa sababu habari hzi pia hupatikana huko..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.