Recent content by Jahlex

  1. Jahlex

    Rwanda na Burundi ilikuwa ni sehemu ya Tanzania

    Umekula majani ya wapi mtoa mada?
  2. Jahlex

    DOKEZO TRA mulikeni hawa Wachina, wanahujumu uchumi wetu. Hawalipi kodi ipasavyo

    Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye biashara hapa bongo,njia za ukwepaji kodi ni nyingi sana tofauti na hiyo . . . Hivi ukilipa kodi halali ndo maisha yako na ya yule mwana wa nchi kule kijijini yanapata nafuu? Kila mtu ni mkwepa kodi nchi hii,hata hao wanaokwambia kuwa wao ni wazalendo i.e...
  3. Jahlex

    Wale wa betting. Hizi telegram za fixed huwa zina ukweli ivi?

    Achana nao wezi hao hata dark web hawajawahi kuwa na fixed sembuse hao wakenya na wanaigeria
  4. Jahlex

    Freeman Mbowe: Ndani ya gereza la Segerea kuna ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja, kukosekana kwa mahitaji muhimu na msongamano wa watu

    Chukulia Lowasa na Nasari kama mfano kwa hapa kwetu.....tazama wenzetu wakenya ndipo utaona ninachomanisha Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Jahlex

    Freeman Mbowe: Ndani ya gereza la Segerea kuna ukiukwaji wa haki za binadamu ikiwa ni pamoja, kukosekana kwa mahitaji muhimu na msongamano wa watu

    Upinzani nchi hii haupo serious licha ya changamoto unaopitia awamu hii. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jahlex

    Kwanini kituo cha Mawasiliano kinaitwa Simu 2000?

    C&P . .naona mnadanganyana sasa! SIMU 2000 ilikuwa ni kampuni iliyokuwa inahodhi mali za serikali wakati wa ubinafsishaji awamu ya tatu ya ben mkapa, hii kampuni ilimaliza kazi zake mwishoni wa awamu ya tatu na kazi zake nafikiri siku hizi zinafanya na consolidate holding corporation wapo pale...
  7. Jahlex

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hadi inaogopesha sijui nini kimejificha ndani yake ila ukiangalia vikosi nikama vipo ok Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jahlex

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pesa nyingine hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jahlex

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Pesa hiyo tukutane baada ya dakika 90 za mchezo Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Jahlex

    Unawezaje kujua mwanamke aliezaa ( mwenye mtoto)

    Chuchu za mwanamke aliyezaa zinajulikana kwa rangi yake achilia mbali tumbo,ukilishika tu unajua Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Jahlex

    Mauaji Itigi: Msemaji wa Polisi asema kulitokea vurugu na inadaiwa Askari wa Wanyamapori ndiye aliyefyatua risasi

    Ndomana siku zote nasema nchi hii hatuna police bali kikundi fulani cha wahuni waliopewa hadhi ya kulinda watawala Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Jahlex

    Tuwaambie ukweli wanawake, hakuna mwanaume rijali anaetosheka na mwanamke mmoja!

    Mwanaume anayetoa siri za jando ana walakini sana......! mambo ya jando yabaki jandoni,kuyaleta huku ya kazi gani? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Jahlex

    Ng'ombe wanahitajika

    Unahitaji n'gombe wangapi? Dodoma bei ni nafuu zaidi......kama unahitaji kuanzia 4 njoo pm Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Jahlex

    Mfahamu Binti aliyefariki, Maiti yake ikaonekana miaka miwili baadaye akiwa bado anatizama runinga

    TV kuwaka mfululizo miaka 2 si jambo la kawaida......moyo wa ziada unahitajika kuamini hii story. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Jahlex

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Inye gwedegwede
Back
Top Bottom