Na
Nani kakwambia kuwa top 10 ndio kigezo...? Bas ungemuona pyramids na si enyimba, au ungemuona Asec Mimosas na si Enyimba kama ukileta kigezo cha ukanda
Mi ni yanga ila katika ma commentator siwaelewi Tanzania ni Mpenja, yani jamaa kutoa nicknames anaona ndio sifa na sijui hawawasikilizagi wakina peter drury angalau wajifunze sio kutangaza mpira kama Dj Afro
Habarini wakuu, kama uzi unavyojieleza naomba kujua utaratibu wa kuhamisha Tin number ya biashara kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, natanguliza shukrani
Mkuu kiswahili hakitoshi na ni kirefu, mfano haya maneno Good,better and Best ni rahisi zaid kuyatumia kufanya ulinganifu kuliko kiswahili
Kuna mtu alikua anafanya kazi ya kutafsiri maneno ya kiingereza kwenda kiswahili na sentesi yenyewe ilikua ni hii
Use the Constant Multiplication Rule for...
Basi ushabiki wako kwa Arsenal umekufanya usifanye fair judgement kwa VA VA VOOM
Mkuu huyu mwamba alikuwa sio poa aisee ile speed yake anavyoingia kwenye box na ile trademark finishing yake anaupress mpira angle ya mbali chini chini
Baggio ampishe aisee
Ukifa ndio umepotea hivyo Hii ndio point yangu. Hakuna cha akhera wala nini hizo ni heresy kama za Alfu lela u lela na hadithi za Abunuwasi
maisha ni struggle hata ng'ombe huwa anajinyea akiwa anakufa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.