Recent content by jahanbaksh

  1. jahanbaksh

    Mtu kukopa pesa mtandaoni na kukuweka kama mdhamini bila ridhaa yako ni sawa?

    Kampuni gani hao mkuu wamefanya hivyo,m nilipigiwa na watu wanajiita umojaloan sijui Aisee 🙌🙌
  2. jahanbaksh

    Simba inazidiwa na Yanga kwa propaganda

    Na Nani kakwambia kuwa top 10 ndio kigezo...? Bas ungemuona pyramids na si enyimba, au ungemuona Asec Mimosas na si Enyimba kama ukileta kigezo cha ukanda
  3. jahanbaksh

    Wanaua Brand ya Azamtv

    Mi ni yanga ila katika ma commentator siwaelewi Tanzania ni Mpenja, yani jamaa kutoa nicknames anaona ndio sifa na sijui hawawasikilizagi wakina peter drury angalau wajifunze sio kutangaza mpira kama Dj Afro
  4. jahanbaksh

    Utaratibu wa kuhamisha TIN number kutoka mkoa mmoja hadi mwingine

    Habarini wakuu, kama uzi unavyojieleza naomba kujua utaratibu wa kuhamisha Tin number ya biashara kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, natanguliza shukrani
  5. jahanbaksh

    'Application' gani naweza kuangalia mechi zote Kombe la Dunia?

    Kuna links za twitter huwa zinazagaa zagaa jaribu kufatilia
  6. jahanbaksh

    Wachambuzi wa mpira bongo ni lazima kuongea kiingereza ugoko?

    Mkuu kiswahili hakitoshi na ni kirefu, mfano haya maneno Good,better and Best ni rahisi zaid kuyatumia kufanya ulinganifu kuliko kiswahili Kuna mtu alikua anafanya kazi ya kutafsiri maneno ya kiingereza kwenda kiswahili na sentesi yenyewe ilikua ni hii Use the Constant Multiplication Rule for...
  7. jahanbaksh

    Wachambuzi wa mpira bongo ni lazima kuongea kiingereza ugoko?

    Kiswahili hakitoshi kuelezea mambo mengi na ujumbe uliokusudiwa ukafika bila walakini.., tujifunze kiingereza wakuu
  8. jahanbaksh

    Fikiria kesho unaamka jinsia tofauti na uliozaliwa nayo

    Namtafuta a lesbo woman najua with this gender itakua easy
  9. jahanbaksh

    Wafahamu wachezaji kumi bora kuwahi kutokea Tanzania mpaka sasa

    Said Maulidi SMG hata huko kwa kina Boban na Shindika kakosa..?
  10. jahanbaksh

    Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea bara la ulaya (raia wa ulaya) mpaka sasa

    Basi ushabiki wako kwa Arsenal umekufanya usifanye fair judgement kwa VA VA VOOM Mkuu huyu mwamba alikuwa sio poa aisee ile speed yake anavyoingia kwenye box na ile trademark finishing yake anaupress mpira angle ya mbali chini chini Baggio ampishe aisee
  11. jahanbaksh

    Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea bara la ulaya (raia wa ulaya) mpaka sasa

    Rahisi sana Toa Baggio apo kwanza alipaisha penat weka Va Va Voom.
  12. jahanbaksh

    Wachezaji kumi bora kuwahi kutokea bara la ulaya (raia wa ulaya) mpaka sasa

    Xavi, Iniesta na Va Va Voom hawapo apo.? Hii list ni Batili
  13. jahanbaksh

    Nafasi za kazi NMB

    Nilijua tatizo ni kwangu tu. Ukipata suluhisho usisite kushare nami
  14. jahanbaksh

    Tabora: Karani wa Sensa Ajinyonga

    Ukifa ndio umepotea hivyo Hii ndio point yangu. Hakuna cha akhera wala nini hizo ni heresy kama za Alfu lela u lela na hadithi za Abunuwasi maisha ni struggle hata ng'ombe huwa anajinyea akiwa anakufa
Back
Top Bottom