Habari zenu wadau,
Wadau hili la walimu kuvaa t-shirt za mwaka jana Mei Mosi bado sijalielewa. Ni kwamba Chama cha Walimu kimekumbwa na mdororo wa uchumi au wanaendelea kupiga pesa za walimu?
Uwezi kufanya kazi kama masilah sio lazima wataboronga 2 hizo kazi kama walimu wanateseka san madeni kibao huko mitaani yan kam sio mtumishi wa serikali mpk wanafkia kukumbka kipindi cha nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.