Recent content by jafari mwijae

  1. J

    JamiiForums Tanzania Hii dawa ya kupunguza uzito inapatikana Tanzania?

    SIjajua kama Iko nchini,ila Kuna orlstat na gacinia gambochia zipo nchini
  2. J

    JamiiForums Tanzania Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

    Chanjo zipo za pneumonia Kama vile pneumocacal conjugate vaccine (PCV) ,lakini Sasa changamoto visabishi vya pneumonia ni vingi kama ni sababu ni bakteria kama pneumocci atabenefi ,suala linakuja kama hio aspiration pneumonia utatoa chanjo?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

    Sababu ya haraka ya mtoto kilichomkuta yawezekana kiasi fulani Cha maziwa yaliingia katika njia ya hewa kitaalamu huitwa aspiration pneumonia .Na hatumae kupelekea kifo kutokana na ukosefu wa hewa ya oxyengene kwenye damu(hypoxemia) na kwenye chembe hai za mwili(hypoxia).Mara nyingi Moja...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Neumonia inaweza kumbana mtoto ghafla bila dalili?

    Sababu ya haraka mtoto alipokuwa ananyonya maziwa yalienda njia ya hewa ,kitaalaumu inaitwa aspiration Pneumonia.Kwa kawaida unaweza msaidia mgonjwa kama huyo kwa kuanza kuhakikisha njia ya hewa haina kizuizi(airway patency) kwa kuweka mpira kupitoa mdomo kwenye kwenye Koo la hewa...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuongeza mwili (Kunenepa)

    Kitu Cha Kwanza inatakiwa ,upime kilo zako za uzito wa Sasa ,na urefu wako ,baada ya hapo ,zitatafutwa energy(nishati) inayotumika kufanya kazi katika mwili wako , kujua kiasi gani unaunguza ukiwa umetulia au katika stress,pia shughuli unazofanya kila siku ikiwemo Kama kuna aina ya mazoezi...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia kupunguza magonjwa yasio ambukizwa

    NJIA KUMI ZA KUZUIA MAGOJWA YASIYO AMBUKIZWA Magonjwa yasiyambukizwa ni magonjwa yasiyo na vimelea vinavyoweza kusambazwa.Mfano ni magonjwa sugu ya njia ya hewa ,kisukari,kuoza meno,magonjwa sugu ya njia ya hewa ,kisukari ,kuoza meno nakadhalika. Zifuatazo ni njia za kupunguza magonjwa...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Nashare nanyi vitabu viwili vya Majasusi wa Israel

    Asante sana Tutumie Kama unavingine pia.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

    Mdogo wa rafiki yangu one ya Tisa kwenda ualimu wa chekechea
  9. J

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Ubora wa Vyuo vya Elimu ya Juu Uganda

    Ni vyuo vizuri Sana, pia kwa Uganda ,wanakozi nyingi kwenye vyuo vyao ambazo zinaendana na matakwa ya ulimwengu wa sasa, graduate wapo competent.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mama Anna Mghwira usiongee sana, peleka vielelezo juu ya kifo Cha Mama yake Hoyce Temu

    Duuh Hali Ni mbaya Kwa wanasiasa kuingilia masuala ya kitaalamu
Back
Top Bottom