Recent content by jacquelyne

  1. jacquelyne

    Asasi mbalimbali za kiraia Duniani zamwandikia barua Magufuli kuhusu hali mbaya ya haki za binadamu Tanzania

    Haya kazi kwenu wapiga kinanda kwa nyimbo zenu mkitegemea mnuzi acheze. Hata mkia hatikisi.
  2. jacquelyne

    Manara:Siku ya Jumanne nitaongea mambo mazito,,Yanga hawatatumia mitandao ya kijamii

    Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.
  3. jacquelyne

    Msingi wa maendeleo ni jamii kuwa na hoja kinzani na mwisho wake tunafikia muafaka

    Raos anafanya vizuri kubuni miradi lkn aachie wataalam waipembue na wizara husika iipangie mipango pamoja na budget. Vinginevyo anawaumiza wstumishi kwa manufaa ya umma badala ya rasimali za umma zilete manufaa ya umma.
  4. jacquelyne

    BUNGENI, DODOMA: Spika Ndugai ameitaka Serikali kutoa taarifa ya kinachoendelea kuhusu mafuta ya kula, leo saa 11 jioni

    Mh sana J Ndygai hongera kwa sana Mungu akuzidishie hekima ili uzidi kuliongoza bunge. Wabane mawaziri wababaishaji ili waache kutetea uozo unaoumiza wananchi. Udumu Job wa Kongwa. Kongea hoyeeeee!!!
  5. jacquelyne

    CHADEMA wajue: Kuna shule za Serikali, shule za kijamii na shule binafsi hivyo kauli ya Rais Magufuli ni sahihi

    Jamani Tz ni yetu. Watoto wa matajiri au maskini kwa jinsi inavyotafsiriwa wote ni sawa. Ninashangaa maanza kuwajengea tabaka. Mtu anaweza kusomesha mtoto ps hata kwa kupika vitumbua au kuuza vipande vya kuni maadam analenga jambo fulani hivyo kuweka vigezo vya kusoma ps ni utajiri sio kweli...
  6. jacquelyne

    Raisi Magufuli amegusa ,,wanufaika" sasa moto kuwaka!

    Sidhani kama maskini anachangia kodi moja kwa moja kama matajiri wansolipa kodi kila kukicha. Iweje leo waseme hela za mikopo ya elimu ya juu ni kodi za maskini. Hey hii sasa ni habari mpya. Tangu lini kuki akatoa maziwa halafu akamgomea ng'ombe kuyanywa eti ni michango ya kuku. Hio ni ndoto ya...
  7. jacquelyne

    Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

    Hakuna sehemu kwenye msaafu kulikoandikwa Mungu alotengeneza dhambi. Sijui labda mie si msomaji sana wa vitabu vya dini wataalam watusaidie juu ya hilo japo kubishana juu ya ukuu wa Mingu si vyema.
  8. jacquelyne

    Spika Ndugai ayakataa majibu ya Waziri wa viwanda na uwekezaji kuhusu bei ya sukari

    Hongera Ndugai. Ukiwa hivyo Kongwa yako muda wote na wakati wote.
  9. jacquelyne

    NSSF inapofananishwa na jini Mnyonya damu!

    Hata bima nayo tatizo. Unajiunga kwa kubembelezwa bima ikiiva hupati hela. Mizunguko yake haina mwisho kama roundabout ya barabara. Hiiii nchi ya maziwa na asali. Ni hatareeeee na ngumu kumeza. Hongra awamu ya tano. Thi is lesson kwa wanachama.
  10. jacquelyne

    Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Bungara (Bwege) ataka Serikali kuuza ndege ili kutekeleza miradi ya maji

    DJ Sepetu una tope kichwani badala ya ubongo. Hiyo ni kauli yenye mantiki.
  11. jacquelyne

    Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

    YANA MQISHO JAMANI. MUNGU ANAJUA KILIO CHENU. KIBURI HUANGAMIZA MAPEMA SANA KWANI HATA NIMROD NA WABABELI WENZAKE WALISAMBARATISHWA BAADA YA KIBURI CHAO KIKITHIRI MBELE ZA MUNGU. HAKUNA SERIKALI ISIOANDALIWA NA MINGU. HIVYO MUNGU ATAWAOKOENI KWA MKONO WAKE QENYE NGUVU NA SIYO BINADAMU AU VYAMA...
  12. jacquelyne

    Watumishi wa Serikali na siasa za mishahara

    Msigombane wanangu bado baba anapika chakual kikiiva atapakua mtakula na kusaza. Njaa haiui ugoanjwa ndio unaua.
  13. jacquelyne

    Mei Mosi 2018: Rais Magufuli atapandisha Mishahara miradi mikubwa ya Serikali ikikamilika, Mwaka jana alinukuliwa Vibaya

    Nchi imepata Rais tulieni tutafika kwenye nchi ya mzaiwa na asali.
  14. jacquelyne

    PICHA: Tazama hisia za Wafanyakazi wakati Rais akihutubia kwenye Sherehe ya Mei Mosi 2018 Mkoani Iringa

    Mungu awape nguvu za rohoni mtende kazi kadri ya nafsi zenu zinavyowaruma. MUNGU yu mwema siku isio na jina atawalipa haki zenu. Biadamu hatoi haki Mungu ndio mtoa haki.
Back
Top Bottom