Manara:Siku ya Jumanne nitaongea mambo mazito,,Yanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Ketoka

JF-Expert Member
Sep 23, 2015
1,087
1,913
Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi

Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
 
Manara
images.jpg
 
Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi

Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?

Wakumpuuza huyu
 
Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.

Kumbe unajua utani wa jadi wa Simba Na Yanga umetoka mbali sana Na hicho ndicho atakachofanya Haji Manara Hiyo Jumanne lakin unaonekana tayari povu zimeanza kukutoka
 
Aaache ujuha wake. Ana matatizo ya kichwa nini. Yeye na mtindio wake wa ubongo asituzingue. Yanga na Simba wametoka mbali utani wa jadi umeanza hata babaake hajazaliwa leo aisambaratishe Yanga kwa upuuzi waje. Acha hizo dogo.
Bado hajazungumza mnaweweseka. Mtulie. Mlipenda kila siku muwe ninyi tu?
 
Jana akihojiwa na kituo cha Azam live kutoka Namfua stadium,msemaji wa simba Haji manara amesema,", Siku ya jumanne ataongea mambo mazito dhidi ya Yanga na kuanzia Siku hiyo wanayanga hawatatumia mitandao ya kijamii

Njooni tubashiri,ni mambo gani hayo ambayo Manara ataongea mpaka aivuruge Yanga
Au tambo za mpira wa miguu,watani wa jadi

Ni kweli jumanne Yanga watasambaratika?
hivi tokea yanga kupata vipigo msimu huu umeshaona mavuvuzela mtaani kwako maana hawa yanga ndi wapiga kelele
 
Back
Top Bottom