mtoa mada kaandika vzr bt wachangiaji ndo wanahrbu jukwaa
jamani tumpe kila mtu uhuru wake wa kuamua haijalishi kuwa ni mwana ccm,cdm,cuf,act ,
tukianza kubezana na kudharauliana huku ipo siku tutatafuta kulipuana!!
wengi tunaamini zzk alfanya kosa kubwa la usaliti kama ilivyokuwa kwa yuda...