Recent content by Jacobo Zuma

  1. J

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Hadi Ccm wameogopa pamoja nakua na Dola haaaahaaaa
  2. J

    Tabasamu la JK na utingo aliyeachwa na dereva

    Hivi vyama vya upinzani havipo kimkakati kwasababu vilitakiwa kuwa na Malengo kwa mfano miaka 10 au mhula wa Jk wote wao walipaswa Kua wanamuuanda mtu ambaye sasa angesimama kama mpinzani sio hii yakusubiri mtu anatoka ccm eti wao ndio wanamuweka mgombea hii haitakaa ifanikiwe Laxima wamuandee...
  3. J

    Mwanafunzi wa UDSM agongwa na gari Ubungo Riverside, afariki

    Ni week tu SUA nao wamepoteza wafunzi wawili Mmoja aligongwa na Haice Akapelekwa Uru kibosho huyu alikua anachukua degree ya utalii na mwingine aligongwa na Tren akapelekwa kwao mbeya huyu alikua achachuukua degree ya Education ndani ya week moja hii
  4. J

    Bashiru unajaribu kumshika simba sharubu zake? Umetumwa?

    Mm niliona live jana Bashiru akisema yule mzee alionesha sura flani ya ukakasi japo alitikisa kichwa kukubaliana na Bashiru ila niliwaza mbali hivi Bashiru aliwaza nini kusema vile au kuna nini nyuma yake nakama alijisemea mwenyewe basi siku sio nyingi atarudi kufundisha pale Udsm
  5. J

    Mjiandae Kisaikoloji

    Na Sisi wa Lupaso tuna coment wapi jamani
  6. J

    Usinywe kupita kiasi: Pombe inashusha heshima

    Kumbe ndio maana huyu Ndugu Kajiuwa mwenyewe
  7. J

    Kwa wasiomjua, huyu ndio mtoto pendwa wa Rais mstaafu Benjamin Mkapa

    Mmoja wa watoto Mkapa ni Naibu katibu mkuu wizara ya Aridhi
  8. J

    Tetesi: Bar ya Forty Forty Tabata imefungwa miezi zaidi ya 3, mmiliki yuko jela kesi za uhujumu uchumi

    Nahii inatokana na watu wengi kudhani umasikini wao unaletwa na mtu flani kumbe ni wivu tu Unasema Ameiba wew ulikuwepo au tujifunze kuwa nahuruma haya bar imefungwa yeye amefingwa familia yake inapata tabu je wew katika kipato chako umeongeza kiasi gani zilitokana na bar kufungwa na mwenye bar...
  9. J

    Dkt. Bashiru: Ukishakuwa kiongozi hutakiwi kuwa na tamaa

    Kifungu cha katiba kina sema kila mtu anayo haki ya kuchagiliwa na kuchagua Makonda yupo sahihi na mm pia nimechukua fomu Morogoro mjini naamini nitapita na Makonda atapita watu wasio jua siasa ndio wanadhani Makonda amekurupuka Niwakumbushe tu Makonda ni yule yule wa vyeti mliyepiga kelele...
  10. J

    Dawa ya Madagascar-Covidal bado inafanyiwa majaribio tu?

    Mji Mkuu wa Madagascar umefungwa Covid19 inawamaliza eti wana Dawa subutu yako
  11. J

    Tumemsahau Dr Omari Ali Juma?

    Moja kati ya wanasiasa ninao wataishi na sitawasahau katika maisha yangu ni Hyu Dk.Omari juma Umenikumbusha mbali nakufanya nitafakari sana
  12. J

    Yupo wapi Dr. Ulimboka?

    Ulimboka yupo sana Nyumbani kwake Kipindi kile alikua Rais wa chama cha Dakitari Saiz ni Doctor wakawaida sasa utamsikia wapi Ila kama unashida naye fika Ubungo Riverside pale Angalia kwa juu kama unaenda kibangu utaona kigorofa juu kimeandikwa Kidamai pita chini yake hapo kwenye kichochoro...
  13. J

    Tetesi: SUA: Prof Mstaafu afariki kwa tatizo la kushindwa kupumua! Ni Prof wa tatu kufariki ndani ya miezi miwili kwa tatizo kama hilo

    Na Jamaa flani Anaijwa Jacobo Masofa maarufu sana Redio Abood wakitangaza mpira naye kaondoka ghafla jana
  14. J

    Tetesi: SUA: Prof Mstaafu afariki kwa tatizo la kushindwa kupumua! Ni Prof wa tatu kufariki ndani ya miezi miwili kwa tatizo kama hilo

    Professor E.Kimambo idara ya Animal Science hakuna mwenyewe uhakika na ugonjwa ila kwa mjibu wa msemaji wafamilia wakati wakuaga mwili wamesema mafua nakifua ndio ugonjwa ulio muuwa
  15. J

    Nchi haina hata mafuta watu mnashangilia

    Sio Kigoma tu Hata Morogoro ni vituo vitatu tu vinauza mafuta wengine wote wamefunga nakudai hawana mafuta
Back
Top Bottom