Kuna wakat utafika mtakapoamka lakin mtakua mmechelewa hata Muamar Gaddafi alijua anafikra kubwa na taifa lake na Afrika kwa ujumla lakni walimuita dikteta wale wasiopenda mafanikio hata siwashangai si mnataka kuona lakini mmefumba macho lazima muingie msikopajua
Sijui nifanyaje wadau maana simu yangu ina laini ya halotel na internet inasumbua hadi nisubiri usiku. Msaada kwa wataalam wa IT kama kuna cha kufanya ili irudi kuwa bomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.