Recent content by Jacob Mg

  1. J

    GE2020 Bango la Magufuli limenishangaza sana

    Kuna wakat utafika mtakapoamka lakin mtakua mmechelewa hata Muamar Gaddafi alijua anafikra kubwa na taifa lake na Afrika kwa ujumla lakni walimuita dikteta wale wasiopenda mafanikio hata siwashangai si mnataka kuona lakini mmefumba macho lazima muingie msikopajua
  2. J

    Internet halotel ni zero

    Sijui nifanyaje wadau maana simu yangu ina laini ya halotel na internet inasumbua hadi nisubiri usiku. Msaada kwa wataalam wa IT kama kuna cha kufanya ili irudi kuwa bomba.
  3. J

    Ujio wa Sex Dolls: Dunia inaenda kasi

    Fursa kwa wapenda nyeto
  4. J

    Ujio wa Sex Dolls: Dunia inaenda kasi

    Ule muda muafaka wa wanaume wa kibongo kuanza kuoa wanawake wazungu bila mikataba umefika. Ubaya midoli haitakufanya kuhisi uhalisia wa mwanamke
  5. J

    Ujio wa Sex Dolls: Dunia inaenda kasi

    Hahaha mwanamke naona kama anaisha soko hivi!
  6. J

    Huyu mdudu gani wakuu?

    K Kwa Kwel watapotea
Back
Top Bottom