Recent content by jacob makondo

  1. J

    Mkuu wa Wilaya Serengeti aliyeteuliwa kimakosa aaibishwa kwa kutolewa nje ya Ukumbi Ikulu

    Haifai kusema ni bahati huo ni uzembe nakutokujiamini ktk nafasi Kuala. Ikulu sio sehemu ya kutoa excuses kama hizo. Pana jipu hapo! Makosa hayo hayo yanaweza kutumiwa kumpotosha hata Raisi. Embu anza kujitumbua kabla ya kutumbuliwa.
  2. J

    Atiwa mbaroni kwa tuhuma za 'kumchinja' dada yake

    Labda hizi ndizo dalili za mwisho wa dunia na kwa hakika mwisho wake utaanzia Tanzania nchi inayoendelea kulaaniwa kila kukicha. Au tulikula nyama ya mtu?
  3. J

    SMZ kuzuia leseni kwa wafanyabiashara watakaobainika kupandisha bei za bidhaa kwa misingi ya kisiasa

    Hiyo ndiyo z antiwar bwana. Wanajuana. Siasa za ovyo. Think tatizo ni wazanzibara wa z antiwar.
  4. J

    Tanzania yapokea msaada wa shilingi bilioni 116.4 kutoka Japan

    Hao wajapani walikuja field na sio kujitolea. Leo hii vijana wetu wanamaliza elimu yao ya juu lakini je atapataje hiyo field! Hatuna mwelekeo kama nchi mambo yameachwa yaende no dira.
  5. J

    Tuhuma za Rushwa: Hussein Bashe naye aachia ngazi ujumbe wa Kamati ya Bunge

    Mliikataa rasimu mpya katiba. Mkaamua kuisigina na sasa hiyo ni laana itaendelea kukutafuna tu hata mkimbilie uvunguni bado itakuibua. Rais Magu..fumuafumua hili bunge kabla aibu haijaifika jamii ya wadanganyika.
  6. J

    Tuhuma za Rushwa: Hussein Bashe naye aachia ngazi ujumbe wa Kamati ya Bunge

    Rais avunje bunge tu! Kwanza halina mvuto baada ya kuondoa matangazo na zile sarakasi za LIVE. Lipotezeeni tu.
  7. J

    Rais Magufuli atekeleza agizo la Makonda la ukaguzi wa silaha, apeleka bunduki zake

    Mimi namiliki pinde mbili na mishale ya sumu, nina mikuki miwili na panga moja. Je nizisalimishe kituo gani? Je mkubwa anaweza kuja kwangu tabata kunifanyia uhakiki wa silaha zangu? Lakini ajue mishale ya sumu ni zaidi ya risasi!
  8. J

    AJALI: Magari manne yagongana na kusababisha vifo vya watu 4 na majeruhi 6 ktk msafara wa TAMISEMI

    Ajali hiyo. Kweli haina kinga Lakini mbwembwe na overspeeding ktk hiyo misafara tumeizoea. RIP you guys.
  9. J

    Uchaguzi Zanzibar: Dr. Ali Mohammed Shein atangazwa Rais wa Zanzibar

    Poleni sana wazanzibari kwani maigizo ya jana yalifana sana. Kama vile namwona marehem mzee small jukwaani.
  10. J

    Uchaguzi Zanzibar: Dr. Ali Mohammed Shein atangazwa Rais wa Zanzibar

    Poleni saba wazanzibari kwani maigizo ya jana yalifana sana. Kama vile namwona marehem mzee small jukwaani.
  11. J

    Congo Brazzaville cuts phones, SMS and internet during presidential vote to curb "illegal results"

    Il wish that the colonization should come back again to the african countries and use all means and recources to to teach us the meaning and practice of democracy. The way they used to Impose the religions in the most of the african countries should be used also to teach and impose Democracy as...
  12. J

    Congo Brazzaville cuts phones, SMS and internet during presidential vote to curb "illegal results"

    It is true that Africa continent will remain as bblack as used to be More than 100 years back. At this age of science and fast growing technoledge still the blacks remain black.
  13. J

    Yaliyojiri: Uchaguzi wa Marudio visiwani Zanzibar - Machi 20, 2016

    Kitu kidogo tu kinachukua muda mwiiingi why? Tangazeni watu watoe mawazo yao zanzibar. Wengi wanapoteza muda wao ktk mitandao na hizi Tv za ovyo zinazotoa habari kwa maelekezo. Star Tv na TBC zinatia kichefuchefu kutizama taarfa zao za uchaguzi.
  14. J

    Yaliyojiri: Uchaguzi wa Marudio visiwani Zanzibar - Machi 20, 2016

    Wanandugu naomba mnijuze je ni wangapi waliojiandokisha?
Back
Top Bottom