Recent content by Jackyme

  1. Jackyme

    Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    hivi mkuu sorry , niliweza kuopen account, iko ok, but nikifika kwenye hiyo sehemu ulo attach nikiweka kwenye kipengele cha 1v inaleta info tu, na nikihaweka zile detail za address, nida etc nikibonyeza nifinish hiyo sehemu niingie kuattach sasa zile documents inagoma (inaandika time out) tangu...
  2. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    duh, itawezekana kweli mkuu? girlfriend wangu sio open minded kabisa, ataniacha sku hyo hiyo, not easy, sjui nafanyaje, au maybe nitafte huko nnje wengine?
  3. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    dah, ni kweli mkuu, yani imekua too late but i hope tachukua hatua nichange, sii poa
  4. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    nakuja mkuu, dah inaumiza sana me kua na haya mahisia[emoji26]
  5. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    anyway, niambie nikaombe where ambako you think will be a right place
  6. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    mkuu nitangaze biashara gani? ili iweje?natamani kua normal 100% kama vijana wengine, is it bad kuomba ushauri mkuu? dah
  7. Jackyme

    (Abnormal Feelings Problem) Nisaidieni kunishauri kuhusu hili linantesa

    amen, nitoke aisee, is not normal na nia ninayo aisee
Back
Top Bottom