Kuna dada mmoja yeye anatumia gari aina ya Vits amekutwa na kosa la kupakia abiria maeneo ya Segera Tanga. Yeye hajawahi kwenda Tanga ni gari anaitumia hapa hapa Dar. Amekwenda kulalamika akapigiwa simu huyo askari anayedaiwa kumkamata. Akajiumauma kujibu akadai alikosea kuandika namba ya gari...
Huyu jamaa alikuwa upande wake wa kushoto kwa barabara mbili zinazoelekea Tegeta. Ina maana was walitoka upande was wa barabara 2 zinazoelekea Mwenge wakaingia kwenye barabara zinazoelekea Tegeta.
Mimi gari langu lina zaidi ya miezi 8 halijatembea kwa sababu nilikuwa nimesafiri. Na kwa sababu sikuwepo hata Bima halina tangu January. Juzi naangalia nakuta linadaiwa sh 60,000/= tangu mwezi April mwaka huu. Nashangaa kwa sababu hiyo gari haijawahi hata kutoka nje. Kosa ni kutokuwa na...
Du! Shinyanga Guest imeungua! Hiyo ni Guest ya siku nyingi. Ilikuwa katikati ya mji. Wasukuma wengi kutoka nje ya Mwanza walikuwa wanapenda kufikia hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.