Recent content by Jackson Turary

  1. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    2000/= ya Tz kwa 15kg ya gas nchini Cuba kwa kweli sina vigezo vya kuhalalisha hoja yangu ila ukichakata kwa akili ya kawaida haiwezekani labda kakosea labda alimaanisha 20,000/=
  2. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania Kamba za Polepole: Kama Membe alipatikana na hatia za kupanga kumuua Magufuli, kwanini hakushtakiwa kwa kosa la jinai, akafukuzwa tu CCM?

    Hapo ndo una-confirm kuwa Polepole alikuwaga chawa wa Jiwe
  3. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania Barua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda FIFA

    Timu yangu ila kwa hili ikfungiwa nitapa utulivu wa nafsi, yani Engineer alikuwa anabembeleza kiaina ili akateuliwe kura za maoni Kongwa, mshenzi kabisa.
  4. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania GE2025 Videos: Vurugu za wanaCCM kwenye zoezi la uteuzi wa wagombea ubunge sehemu mbalimbali nchini

    Mbona sijasikia aliyevunjwa pua au kung'olewa macho?
  5. Jackson Turary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msimu wa 2025/2026 Azam au Simba mmoja atakuwa Bingwa

    Yanga hii unaI......je! Utakuja ikimbia hii thread, Time will tell
  6. Jackson Turary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale Wabobezi wa hizi Styles Kuu Saba za Kungonoka (Mapenzi) Kitandani tunaomba Maelezo yake kwa Kina kwani nasikia Wanawake wanazipenda sana

    Unaonekana wewe mbobezi unaachokonoa mada , funguka tupate somo 🤣🤣
  7. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania GE2025 Binafsi katika maono yangu simuoni tena katika KITI cha URAIS 2025-2030

    Uzi wako ni wa mihemko na ni kama umekurupuka ndotoni kwani hujui kuwa hata kingepmbanishwa na jiwe achilia mbali kivuli lazima kishinde au ni ktk criteria gani ya uzi wako,
  8. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuanzia tarehe 19 Julai, "She will lose total control of Her Government"

    Hapa hatufurukuti tumekamatwa kwenye uvungu wa gololI mbili ujanja kwishinehi papa
  9. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania Rais Samia itisha Press, ongea na Taifa kutuliza hali ya hewa

    Mitandao siyo ya kupuuzia sana pamoja na propaganda nyingi ila inaakisi kinachoendelea Wtz wa leo SI wa Karne iliyopita wanafatilia na kuongezeka mitandaoni." Hata mbuyu ulianza kama mchicha"
  10. Jackson Turary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Rais Karia atatangaza kujiuzulu TFF ndani ya saa 24, sababu kuu ni kuikumbatia Azam TV

    Vifurushi vya Azam si vya kizalendo hata kidogo wananchi Wengi havi-aafford, it's very terrible
  11. Jackson Turary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu kamganda mme wa mtuu! Ushauri jamanii

    Mkorogee sumu ya panya na mende huyo hakufai tena!🙉
  12. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania Alichokifanya Mchome kwa kumuita Mwenyekiti wake dikteita uchwara, sidhani kama kuna mwanachama wa vyama vingine anaweza kukifanya na akabaki salama

    Afutwe chamani kwa kusema ukweli? Majasiri siku zote ni kusema kweli kwa ma-dictator uchwara unafiki mwiko , " Big up Mchomee!
  13. Jackson Turary

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mwisho wake ni nini. Maana CCM na vyama vingine vinasema tuanaendelea na uchaguzi CHADEMA pekee inasema no reform no election

    No reform ,No election mi sioni kama kuna chochote kitatokea sababu Chadema watawashawishije wananchi waelewe hoja yao ili wasusie uchaguzi
Back
Top Bottom