Recent content by Jackomwanda

  1. Jackomwanda

    PreGE2025 Mtu akıkwambia No reforms no election Mjibu Reform zimeshafanyika na uchaguzi utafanyika

    Inaonyesha ni kwa namna gani ubongo wako haushughulishi katika kufikiri kichwa kikubwa ni mzigo kwa shingo
  2. Jackomwanda

    Hebu tuache utani, hivi inawezekanaje CCM na Serikali wakaupotezea msiba wa mtu muhimu sana kwa Taifa kama Profesa Sarungi?

    ccm na uongozi wake kwa mtu aliekuwa msafi siyo fiasadi hawana ujamaa naye ukiwaona kwenye msiba basi huyo marehemu alikuwa mtu wa Dili mwenzao
  3. Jackomwanda

    Utafiti uliodumu kwa Miaka 22 kuhusu Mungu yupi ana nguvu katika Ulimwengu wa Rohoni. Hakika Mungu wa Walokole ana nguvu

    Hongera sana mtafiti nimekuelewa na japo kdgo umeweza kunilisha ufahamu Mungu wa walokole azidi kukuweka
  4. Jackomwanda

    Dunia iliishia 1999

    Mmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watu
  5. Jackomwanda

    Dark days 17/03/20

    Nyepesi mtoto wa kigoma hata kufungua hii ukishindwa basi ww ni zaidi ya kilaza
  6. Jackomwanda

    Msaada: Jinsi ya ku hack simu ya mkononi

    Nielikeze nami pia huko Pm unaingia vp ? Hili nalo tatizo
  7. Jackomwanda

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Yaaani umeropoka tu bila fact hujafafanua hicho unacho kiamini mpaka kutushawishi kukuamini nyie ndiyo wale mnao amini Hakuna Mungu pole sana
  8. Jackomwanda

    Dark days 17/03/20

    Ww tupe madini wenye akili tutabaki na story yetu hao wanao tumia fuvu kufikiri Acha wateseke wakali wa code tunajua what's was done.
  9. Jackomwanda

    Ndondokela ya African league (AFL) ni tofauti kabisa na michuano ya Klabu bingwa Dunia (FIFA)

    Ukiacha makasiriko na roho mbaya yako ya wivu utakuwa mchambuzi mzuri Tu Simba hawakufika hpo Kwa ghiliba na kujitangaza kwenye media kuna kazi kubwa ilifanyika na hata huko world cup club wataenda wakitimiza vigezo ww nyuma mwiko na akili zako kama kisoda msipo badilika mtabaki kulalamika humu...
  10. Jackomwanda

    Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

    Duhh Kwa mara ya Kwanza nimeweza kusoma muzi mzima (mwaa mwii) mwanzo mwisho hongera Sana mtoa story uko vzuri
  11. Jackomwanda

    Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Duhhh hapa nimeelewa kwhyo ikitokea hata kama umefungwa yaani kuna m2 kakufunga ili usifanikiwe waweza tumia njia hihi kujikomboa ? Yaani zoezi hili la kutumia damu ya mnyama na kujinenea mwenyewe ili kujifungua?
  12. Jackomwanda

    SIMULIZI: Nilipata nafasi ya kuongea na Gurus wawili wenye mitizamo miwili tofauti kuhusu Kuzaliwa, Kifo na uwepo wa Mungu pamoja na Dini

    Makala nzuri Sana jitahidi utujuze basi tufahamu maana pia Nia nimoja la agizo tunloambiwa na hawa wanao jiita Aman of God. Tutafute yaliyofichwa sirini
  13. Jackomwanda

    Jinsi polisi walivyonusuru maisha yangu last night

    Duhhh kama move Anya way poleni sana Ila tahadhari ni nzuri
Back
Top Bottom