Kwa faida tu ya wale wasiopenda kufanya utafiti kabla ya kuandika chochote Airline business is not a joke. Mashirika mengi na makubwa unayo yajua wewe ya ndege yanaedeshwa kwa hasara na yanakuwa yamejiwekea projection of a certain period of time kuanza kupata profit.kwahiyo ni kitu normal...
Du bora ungebaki bongo hiyo hela ungeipata hapa hata kwa kulima kijijini shamba lako la heka hata mbili...,ila kupanga ni kuchagua pambana huwezi jua labda utatoka kimaisha lakini [emoji849]
Kama unaona taabu ya hiyo rangi utaifunika na cover ya rangi yoyote unayotaka wewe maana hizo cover zinauzwa hata barabarani na ndugu zetu wamachinga...,shida iko wapi
Mtoa mada hayo ni maono yako lakini sina uhakika kama umefanya hata research ndogo ndo ukaja na andiko hilo for your information hiyo reli itasaidia sana kwa wafanya biashara na at the same time itasaidia kutokuharibu barabara zetu amabazo zimekuwa zikiharibiwa na ma semi tera ya mizigo yanayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.