Recent content by jacana

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ni mkoa gani Tanzania unatamani kuishi?

    Mambo! sweet heart
  2. J

    JamiiForums Tanzania Ni mkoa gani Tanzania unatamani kuishi?

    Wachanga bwana utadhania ushirikina hawaujui!!? Wakati December lazima akatabike
  3. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kumpa Baba yako zawadi?

    Mzee wangu alikuwa ni waya ya umeme☹️🙁, muda mwingine akitoka safarini nilihisi kama naota vile,😂😂kumbe ndio mzee amerudi.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Kilimanjaro waongoza kwa watoto kupata utapiamlo

    😀😁😂🤣🤣
  5. J

    JamiiForums Tanzania Hii video ndio inaongoza kutazamwa zaidi YouTube ikiwa na watazamaji (views) bilioni 8 na zaidi

    Imezidi hata idadi ya watu duniani
  6. J

    JamiiForums Tanzania Marekani: Atoka jela baada ya kufungwa karibia miaka 70, atoka jela akiwa na miaka 83

    Na me natamani niende jela nikae miaka 50,ili niisahau hii dunia
  7. J

    JamiiForums Tanzania Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

    😀😁😂🤣
  8. J

    JamiiForums Tanzania Amber Lulu aonesha sura ya mtoto wake kwa mara ya kwanza

    🤣🤣
  9. J

    JamiiForums Tanzania Hatua kwa hatua hadi Leirvik - Norway, kwa wanaotaka kufika Norway nitawaeleza hapa

    30m sawa ni ndefu,lakin lazima tujue gharama za maisha zikoje? 30m isiwe hela ya chakula tu na Kodi inaisha tunataka maendeleo hatutaki ufahari wa kuishi ughaibuni kisa mshahara wa 30m
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

    Hii itawakubusha wazazi,wamiliki wa shule na vyombo moto,madereva pia kuwa makini wawapo barabarani ili isije kujirudia May 06 2017) nyingine
  11. J

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

    Unadhani ni kwa nini huwa tunakumbushia kuzaliwa na kufa kwa yesu
  12. J

    JamiiForums Tanzania Marekani: Atoka jela baada ya kufungwa karibia miaka 70, atoka jela akiwa na miaka 83

    Unachekesha ujue, uhuru una raha yake
  13. J

    JamiiForums Tanzania Marekani: Atoka jela baada ya kufungwa karibia miaka 70, atoka jela akiwa na miaka 83

    Unadhani marekani kuna nini cha zaidi,huyo ni Kama ndio anazaliwa sema tu amepewa kiazio cha maisha
Back
Top Bottom