Inategemea kama rafiki zako wala ugoro ni ngumu au kama ugoro upo maeneo yako ngumu sana. Anza kuwa karibu na Mungu. Mawaidha na hisia za maombi yanafanya ukae mbali na maovu
fanya tafiti zaidi. mara nyingi yanakuaga maagizo toka ngazi za juu. Walimu wanapangiwa majukumu ya ziada , wakati mwingine huwa nje ya muda wa kazi. Hamna mwalimu asiependa kupumzika na kufanya shughuli zake za kimaendeleo.
Brother naomba msaada kama unafahamu.simu yangu ya T-SMART(TIGO), Nimenunua tigo shop, leo nimewasha imewka imeandika neno karibu to T-Smart by Tigo. imeganda hapohapo sasa sijui nafanyeje maana ipo ivoivo kutwa nzima
We Kama kweli ni mwana michezo. Tokea Mo awe karibu na Simba sc. Haujayaona mafanikio yake. We ulitaka tufanane na Yanga Sc au Ndanda? Sasa tuambie wewe nan anafaaa kuchukua Simba na ndani ya miaka 2 tuwe na mafanikio kama ya kucheza Champions League na kufikia hatua ya Robo fainali. TUWE WAVUMILIVU
Tupunguze kuwalaumu walimu. Mwanafunzi akipata A au B wanamsifia kuwa genius. Akipata F wanasema mwalimu ajui kufundisha. Ina maana umuhim na shukran kwa mwalim anapewa wapi? Walimu wa shule za kata wanajitahudi kupunguza zero maana wanafunzi wenyewe ni shiida tupu na form two anapita na D mbili...
Wewe Argentina timu mbovu tu. Haina mipango. Very poor Chemistry. Uwez mlaumu Messi. Mchezaji yeyote bora anaonekana kwenye timu bora (iliotengezwa vizuri.) we umeona beki ya Ajentina? Mbovu balaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanaoongoza kukata tamaa ni Vyura FC. Msimu ulioisha walipangwa kundi la vibonde wakawa wanagawa points tu kwa kukata tamaa mapema. Fuatilia utaghndua Simba hatukatagi tamaa. Kama tutatolewa basi kwa kupambana si ku-give up rahisi rahisi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.