Recent content by Jabali Jiwwe

  1. J

    JamiiForums Tanzania SoC04 Simba, Yanga wameamua kulala, waamke sasa wawe matajiri

    SIMBA, YANGA WAMEAMUA KULALA, WAAMKE WAWE MATAJIRI Binafsi nimekuwa mpenzi wa moja wa timu zetu pendwa hapa Tanzania. Nimekuwa mmoja wa wanunuzi na wachangiaji wazuri wa kununua bidhaa pamoja na kwenda uwanjani kusapoti timu yangu! Lakini pia nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mifumo na taratibu...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Waraka kwa serikali kuhusu waalimu, serikali iwajali walimu

    WARAKA KWA SERIKALI KUHUSU WAALIMU, SERIKALI IWAJALI WALIMU Ni muda sasa umepita kukiwa na manung'uniko kwa walimu katika nyanja nyingi zinazohusu maslahi yao ikiwemo mishahara yao, stahiki zao na kunyima haki na kuonewa na kuchukuliwa kama watu wa shida na kila kiongozi. Kuna haja serikali...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Waraka kwa serikali kuhusu waalimu, serikali iwajali walimu

    WARAKA KWA SERIKALI KUHUSU WAALIMU, SERIKALI IWAJALI WALIMU Ni muda sasa umepita kukiwa na manung'uniko kwa walimu katika nyanja nyingi zinazohusu maslahi yao ikiwemo mishahara yao, stahiki zao na kunyima haki na kuonewa na kuchukuliwa kama watu wa shida na kila kiongozi. Kuna haja serikali...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Waraka kwa Serikali kuhusu Walimu

    Waraka kwa serikali kuhusu waalimu, serikali iwajali walimu. Ni muda sasa umepita kukiwa na manung'uniko kwa walimu katika nyanja nyingi zinazohusu maslahi yao ikiwemo mishahara yao, stahiki zao na kunyima haki na kuonewa na kuchukuliwa kama watu wa shida na kila kiongozi. Kuna haja serikali...
  5. J

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo bukoba manispaa nataka nihamie Mwanza au kahama au morogoro mjini
  6. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Mfumo wa ajira nchini ubadilishwe

    MFUMO WA AJIRA NCHINI UBADILISHWE Wakati ni sasa wa serikali pamoja na sekta binafsi kuja na mbinu au mkakati mpya wa ajira na kuajiri nchini. Sote tunajua hivi sasa kuna malalamiko mengi kwa wananchi walio wengi kukosa ajira pamoja na kwamba elimu na sifa zote za kuweza kuitumikia nchi yao...
  7. J

    JamiiForums Tanzania SoC02 Serikali iweke kipaumbele katika kilimo

    Leo nipo ndani ya jukwaa letu, jamii forums nataka kuchangia mawazo naamini mamlaka yetu hasa serikali na wadau wote inaweza kutibu kabisa baadhi ya changamoto kubwa hasa katika mfumo mzima wa sekta ya kilimo. Nina machache sana lakini naona ni ya msingi sana hasa yakitatuliwa hasa changamoto...
Back
Top Bottom