Habari za muda wana jf mm nimeibiwa simu infinix S5pro nilikuwa nimeiweka mfumo wa track nilifanikiwa kuifuatilia muda ikawa imezimwa ila baada ya siku5nikiitrack siioni ila Imei no ninazo naombeni msaada
Habari za hapa ktk jukwaa pendwa mimi nimekuja kuomba ombi hapo juu natafuta mpz awe na miaka30/40mimi nina miaka39 awe mrefu kiasi pia awe amejiajiri au kuajiriwa mimi nimejiajiri pia dini siyo kigezo nitashukuru kumpata asanten napokea maoni na yanayojiri hapa njoo dm kwa maongezi binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.