tatizo wana copy na kupaste,inabidi wajipange upya ahadi za makufuli jujenga flyover dsm ni kila mwaka wa bajeti uliongelea,nikashangaa tena jangwani analiongelea,unamdanganya mtu mpaka anakushtukia
mkuu ni kweli ila napata wasiwasi sana na wengi waliojitokeza maana wamekua wakiuza sera zao kwa kuikosoa serikali iliyoko madarakani at the same time bado wamekalia viti,sasa hii inamaanisha mpaka sasa hakuna mgombea aliye kamilika asilimia mia moja ndani ya chama maana kila mmoja anamapungufu yake
tatizo hapo ni kwa ccm kupata mgombea anayeuzika kama alivyosema mh raisi,sasa na sisi tujiulize swali mtu kama Pinda anauzika maana we know him very well,sasa hapa finally usije kushangaa Lowasa akawa mgombea wa ccm,maana mgombea asiye uzika atawapa nguvu ukawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.