Waraka wa John Bocco kuhusu timu ya Taifa

Waraka wa John Bocco kuhusu timu ya Taifa

Mechi ya Tanzania kukamilisha ratiba iko saa ngap wadau?


Vipi unataka kuifuatilia?
kweli kuna watu mna uzalendo aisee,
mimi siko kabisa kwenye hilo litimu lenu.
FT lesotho 1 0 Taifa lenu.
 
Hu ni U.SH.U.Z.I, hamna lolote hapo.

1)Hivi Madagascar, Lesotho, na Swaziland wana ligi nzuri kuliko Tanzania?
2) kocha anaita wachezaji hata kwenye vilabu vyao hawapati namba, i.e, Kiemba, Dilunga etc
3) kama kempteni, amefanya makosa makubwa, hakutakiwa kutoa waraka huu kabla ya mashindano kwisha. Kufungwa na lesotho, ana mkono ndani, kwani kawavunja nguvu wenzake.
 
jon bocco tuanze na yeye mpira wake tia maji tia maji
 
maneno uliyosema leo ni yaleyale ya kujiteteatetea tu nothing new,ilikuaje baada ya vipigo ndo uje na ushauri?mmesubiri mpate hela ndo mnajifanya kufunguka,kwani ulivyokua azam au yanga hukujua kua taifa letu linapaswa kujipanga kwa kutafuta vijana watakaokuja kukipiga?mkiitwa mnakaa kimya ili mpate mtonyo mkigongwa ndo blahblah zinakuja,unafki tu wewe na wenzako wa tff,siku zote mnaitwa kwa ujomba na ukaka hakuna kingine,wachezaji wazuri wanaachwa yanaenda maboko hii nchi upande wa michezo ni ovyo sana kuanzia wachezaji viongozi na baadhi ya wadau.
 
Angekuwa mzalendo zaidi kwa kukataa uteuzi na kutoa hizo sababu zake.
 
ni kweli mkuu hawa wachezaji wanafki sana

Mmeusoma ujumbe wa Boko, nafikiri ndio. Sasa je unafiki wake ni Unafiki upi? kutokukataa mwaliko?. Kwa nini tunajiaminisha kwamba kugoma ndio njia pekee ya kuwasilisha ujumbe?? Vipi kama angefungiwa na TFF kwa kukataa kuipigania nchi?

Kila mtu anamapungufu, ila mwenye busara hujaribu kuyatafuta, kuyajua na kuyafanyia kazi mapungufu yake.

Boko na wenzake wamejaribu ila wameona hii haiwezekani. Njio tunayotumia sio, tunazidiwa maarifa na ujanja sehemu. Maelezo yake si jambo jipya, wengi wameshashauri hayohayo. Je ulitaka Boko ndio aanzishe shule za soka??
 
Kwanza hana weredi,huu waraka alitakiwa autoe baada ya kumaliza idadi ya mechi walizotakiwa kucheza

Kwani kuna la kupoteza tena?? Umeshatolewa, mashindano yameishia hapo kwa TZ. Ni sawa na mkuu wa nchi ambaye amebakiza miezi kenda. Si vibaya kujadili miaka 10 ijayo

sioni tofauti yoyote ya kutoa sasa au baada ya mashindano.
 
Mmeusoma ujumbe wa Boko, nafikiri ndio. Sasa je unafiki wake ni Unafiki upi? kutokukataa mwaliko?. Kwa nini tunajiaminisha kwamba kugoma ndio njia pekee ya kuwasilisha ujumbe?? Vipi kama angefungiwa na TFF kwa kukataa kuipigania nchi?

Kila mtu anamapungufu, ila mwenye busara hujaribu kuyatafuta, kuyajua na kuyafanyia kazi mapungufu yake.

Boko na wenzake wamejaribu ila wameona hii haiwezekani. Njio tunayotumia sio, tunazidiwa maarifa na ujanja sehemu. Maelezo yake si jambo jipya, wengi wameshashauri hayohayo. Je ulitaka Boko ndio aanzishe shule za soka??

unadhani kutuimbia hizo nyimbo kila tunapofungwa ndio muafaka wa soka letu kubadilika,kuna kitu kama wachezaji wanatakiwa kufanya,wao wanaweza wakawa wanajua mengi ambayo sisi hatuyajui,hujiulzi kwanini wanaitana kindugu na wachezaji wazuri wanaachwa?lazima kuna figisu wanazozificha hawa wachezaji maandazi
 
Nadhani mtoa post ni boko zaidi kwa kukurupuka kama hujui na we unachangia kwa michezo kuwa hovyo nchi hii ni uboko tayari
 
......,hujiulzi kwanini wanaitana kindugu na wachezaji wazuri wanaachwa?lazima kuna figisu wanazozificha hawa wachezaji maandazi

Unamzungumzia Boko au wenye mamlaka ya kuteua team ya taifa? Sikubaliani na Kocha na uteuzi wa ovyo anaofanya ila ni nani ambaye ana kiwango tofauti sana na wenzake ambae ameachwa???
Tatizo kama nchi hatuzalishi wachezaji wazuri, tulionao uwezo upo limited na hilo ndio Boko analosema (Akiwemo bojo mwenyewe).

Anachoshauri ndio wadau wanaofatilia soka yetu wanakuwa wanashauri kila siku. Kwangu ni faraja kubwa kuona this time ni mchezaji ( from the horse mouth) ndio anazungumza. Inanipa faraja ukizingatia na uelewa wa wachezaji wetu.
 
Unamzungumzia Boko au wenye mamlaka ya kuteua team ya taifa? Sikubaliani na Kocha na uteuzi wa ovyo anaofanya ila ni nani ambaye ana kiwango tofauti sana na wenzake ambae ameachwa???
Tatizo kama nchi hatuzalishi wachezaji wazuri, tulionao uwezo upo limited na hilo ndio Boko analosema (Akiwemo bojo mwenyewe).

Anachoshauri ndio wadau wanaofatilia soka yetu wanakuwa wanashauri kila siku. Kwangu ni faraja kubwa kuona this time ni mchezaji ( from the horse mouth) ndio anazungumza. Inanipa faraja ukizingatia na uelewa wa wachezaji wetu.

wenye viwango wapo tatizo tff na makocha wao, wenye vipaji hawateuliwa mpaka ucheze dimba,yanga au azam kwa nini?

Leo mchezaji yupo huko Mbeya city aitwi timu ya taifa, lakini kesho tu akichahuliwa Adam au simba asubuhi anaitwa kwanini ? au kocha Nazi take ni kuangalia yanga na simba tu ?

hivi kweli tukimpa mzawa mamlaka ya kuteua timu nyingine atashindwa kweli kuteua timu bora ?

kama Jamal Malinzi anaeeza kutumia 360M kwa kutafuta vipaji feki anashindwa mini kutengeneza timu nyingine ya taifa yenye kocha mzawa? then tuone kama kweli hakuna vipaji nje ya hawa we simba na yanga ?
 
Last edited by a moderator:
tff limekua chaka la wezi tu wa kutafutatia kura za ubunge
 
Back
Top Bottom