Sasa mkuu mbona unakuwa kama ujajua dunia ,ingia website ya Thailand nunua kupitia mtandaoni na unaletewa mpaka bongo ,dunia ni kitongoji mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja nilitaka kuoa,akanzia keep niletea mambo yake pamoja na kutaka kujua mshahara wangu,nifanye haraka nipeleke mahali kwao,amezoea kuvaa jeans aina ya suruali na mambo mengi,
Nikasema asante mungu huyu umenionesha tabia yake mapema ,mwanaume nikapiga kimya ila bado ananiomba ela
Sent using...
Mkuu naamini hii tatizo litaisha tu pale utakapojenga kwako,
Hakika na mimi hili janga ilinisumbua sana mi ndani ya miezi mitatu lazima nilikuwa nahama na kodi pia naacha hata ya miezi miwili hadi mitatu,na cjui ilikuwa ni ujana inanisumbua au nn maana nilikuwa napachoka sana tu mazingira
Sent...
Ebu niache nipunzike,ina maana rafiki yako wa karibu hawezi kujua mke wako,maswali gani hayo,na hata kama alimtongoza anajua huyu ni mke wa rafiki yangu,
Mda wa kupunzika huu uliza maswali yeye kichwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.