Chadema naona walikurupuka kuunda huu UKAWA sasa unawagharim, maana CHADEMA walikua wanajitosheleza kupambana na CCM. sasa wakati ulikua ndio huu, endapo ccm watashinda itakua ccm daima.
hakuna kitu nyie mungekua na busala mungenyamaza. ila kwakua akili zenu sawa na za ng'ombe endeleeni na upuuz wenu. na bado mtachoka lowasa lowasa byeeee.
wao wahame tu. inaonesha walivyowanafiki. inamaana kama lowasa angeshinda hapo ccm ingekua nzuri. Tunawajua sana nyie mlisha tafuta urais kwa kila mbinu mnafeli. hii ndio tanzania organised body. kaeni mtulie endelezeni biashara zenu tu, urais sahauni ng'o.
wewe. nahisi umezaliwa miaka ya 90. hujui ufisadi wa lowasa. hata habari ya richmond tu pekee. hajawahi hata siku moja kujitokeza na akakanusha. ENDELEA TU BOS NA SAFARII YA MATUMAINI. SISI TUNAENDELEA NA SAFARI YA KUELEKEA IKULU.
Sio kweli. Uliza tukuelekeze jinsi utawala wa vatican unavyoongoza. kwa ufupi ni kwamba askofu wote wanaripoti kwa Papa. askofu mkuu au kadinali hana mamlaka yoyote kisheria kuadhibu au kutoa mamuuzi ya papo kwa papo kwa askofu wa jimbo dogo. isipokua yeye atatoa ushauri kwa barozi wa papa au...
Hivi kweli tuchague mtu kwanza mgonjwa ambavyo watu wazima wapo... pili kashifa kibao na watu wasio na kashfa wapo..... tatu mtu anaeamini yeye ndio alpha na omega kwamba hashindwi katika uchaguzi huku alishashindwa mara kiabao kwenye hiohio nafasi..... Pia anadanganya watu kuwa hapendi...
Kaka Riport unayoisema ya richmond Mbona tuliisoma hayo yalikua wapi kuelezwa? Leo hii ndio mnasafisha mtu. Na kama ilikua dili ikashitukiwa jiulize kwa akili yako uliyonayo. Atakua Amepiga dili ngapi ambazo hazikushitukiwa?.
Mimi Hiyo riport na sakata wala sisimuliwi I know it. mambo mengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.