Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,415
- 4,869
Lema msanii tu.............
Watachukuaje form wakati Kadi walizitupa pale?
Katika kipindi cha watanzania tuongee magazeti asubuhi ya leo tarehe 20/07/2015 kuna gazeti limeandika wale madiwani wa Monduli waliotajwa kujiunga na CHADEMA wamechukua fomu za kugombea udiwani kupitia CCM.
My take: Je, hii ilikuwa ni propaganda za CHADEMA ili waungwe mkono na wapenzi wa Lowassa kuelekea harakati zao za kukamata dola?
Chanzo: Star TV