Wamechimbia waya chini ya ardhi nchi nzima toka mwaka 2010 walikuwa wanasambaza nyaya. Kwasasa wamesambaza kona zote za nchi. Na wanaminara michache tu. Hule waya wanaochimbia unauwezo wa kusambaza mawasiliano kwa km zaidi ya 100 toka ulipo.
Tatizo huwa wanapeana uongozi kiundugu na fadhira lakini kiukweli Nape hana uwezo wa kupambanua vitu kwa busara na kutumia akili za ziada. Ni mkurupukaji na mropokaji. Siasa inahitaji fikra pevu, bado kabisa huyo na mara nyingi huwa ni mpiga kelele tu majukwaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.