The speech is good ....." what happened here 22 years ago will never happen again"...
Wamwombe Mungu yasitoke tena.Na pia waangalie sana sababu zilizochangia machafuko ya mwaka 1994. Na wakemee kwa nguvu zote kila wanapoona dalili zinataka kujirudia. Ubaguzi wowote na
ukabila unapaswa...
Hapana, ilianza Julai, 1992 kwa A-Level ambapo yeye alikuwa Form Six term ya 1. January 1993 ilianza intake ya O'Level. Ila nakumbuka alifaulu vizuri sana mtihani wa Form 6.
Kwa swala la Urais, mimi sidhani kama ni jambo baya mtu kujaribu.Anaweza kupata kwa miaka mingine ijayo. Hata J. Kikwete...
Watanzania,kama tujuavyo huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu. Ili kuwapata viongozi sahihi bila kujali imani zetu wala itikadi za vyama vyetu kuna mambo mawili ya msingi ambayo tunahitaji kuyafanya.
1: Tumwombe Mungu atuonyeshe yule aliyemchagua kati ya wale wote watakaogombea hizo nafasi.(Tunahitaji...
Tumwombe Mungu ili nchi yetu iendelee kuwa na amani.Ninasema tumwombe Mungu atusaidie maana ni msaada pekee uliopo. Serikali walishakiri Bungeni kwamba walishachoka. Hiyo ni kauli ya kukata tamaa na tusitegemee lolote.
He knows for sure that the entire goverment system is not supportive on what he is doing, but still he has stepped forward to try his lucky.
Like David against Goliath he has emerged and dared to fight against these evil and wicked people who enrich themselves on the risk of other peoples...
Mtu mmoja aliniambia maradaka ni kama Nyama kwenye mdomo wa mbwa au samaki kwenye mdomo wa paka.Ukijaribu kumnyang'anya basi uwe tayari kung'atwa au kuparuliwa.
Oh! You guys be careful.Never, never play with sexual immorality,for you will never go unpunished. " But a man who commits adultery lacks judgement, whoever does so destroys himself "(Prov. 6:32).At the end of your life you will groan, when your flesh and body are spent. You will say "How I...
Oh! Poleni wanafunzi. Hii inanikumbusha wakati nikiwa mwanafunzi Ilboru,tuligoma kula maana chakula hakikuwa na chumvi, na maharagwe yalikuwa na wadudu. Headmaster Mtui akasema kama hatuli tuishie majumbani kwetu. Wanafunzi walikasirika wakaenda nyumbani kwa headmaster na kuiponda gari yake kwa...
Hali ya ukatili na uonevu unaofanywa na Jeshi letu la polisi kwa raia ni hatari sana, na huenda ikawa ni sababu moja ya kutoweka kwa amani na utulivu wa Taifa letu.
Mpaka lini polisi wataendelea kutumia vitisho na ukandamizaji kwa manufaa ya wanasiasa? Wangetumia nguvu zao kubwa kuwasaka walipua bomu na kuwafikisha mbele ya sheria ingekuwa ni jambo la maana kwa watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.