Gwajima kiboko yao! Tunawahitaji wachungaji kama yeye wenye kusema bila woga sio wachungaji uchwara waliotufikisha hapa tulipo kwa dhambi ya ufisadi na huku wao wapo kimyaaa! Viva Gwajima songa mbele mpaka kieleweke.
Tatizo la WaTz wanamshambulia mleta hoja badala ya hoja. Shambulieni hoja za huyo mzungu na sio uzungu wake. Ukifikiri kwa dk 5 tuu utagundua mzungu kasema ukweli mtupu.
acheni uvivu wa kufikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.