ni mawili:asamehe au ampe talaka maana hakuna kosa linalohalalisha talaka zaid ya hlo,ila mchakato wa talaka ni mref-inaonesha sheria imetungwa kutorahsisha talaka..
Haya kwa sasa hayana nguvu, sheria ni yetu tumetnga wenyewe kwann tushndwe kuirekebisha ikiwa panahtaj la kufanya hvyo? maamuz n ya wananch sio viongoz ,kama viongoz wamefanya sisi tukapata maelezo na kuona wapo sahh ..Hakuna haja ya kupoteza nguvu, tusubir tar 25
mi sioni hoja kuwa upnzan utakufa au ccm kwakuwa waamuz ni sisi, vyote sawa kwakuwa tnahtaj uongoz uwepo, haya matusi,kejel nk ni mbwembwe ktk kpind hki. kama mtu anaona mbele gza aamue anafanyaje...Lakn ni dhambi kuamua ili uendelee kuwaumiza wengne
Kwa Wengne Hawajui Vita Inahusu Nin, Nan Adui Na Nan Mkombozi,nan Kaja Kwa Maslah Na Nan Alipgana Kwa Maslah Ya Wengi,,,hata Kama Tunataka Mabadliko Tuangalie Na Muongoza Mapinduz,,,historia Ni Mwalimu Mkuu,,, Enl Anaipenda Ccm Ndo Mana Alikubali Kuomba Kuteuliwa Na Chama Chake,, Hof Ipo...
wanaenda mafchon hao kwan hawakujua walishndaje mwanyo-anaeua kwa upanga atakufa kwa upanga....Bora kuiba kuliko kuibiwa ....Halaf watu kama hao tnawaitaje kama sio wasalit?
mfumo huundwa na watu, sasa tunajua ccm haina mfumo kandamiz bali ni viongoz wa ccm ndo wametengeneza mfumo wao na wakaukubali umetunyonya halaf wahusika baada ya kuona hawawez kuulinda zaid wanajivka uzalendo fek na kwenda kwa makamanda wa vta dhd ya mfumo mbovu...Eti kwakuwa tu tnataka...
kwahyo nae ameiba kwa miaka yote ya uccm wake au yeye hahusik na mtindo huo,..Duu kaz kwelikwel...Ukifundishwa kuzuia ni lazma ujue wanaibaje...Kwahyo kaz kwao viongoz kuchambua nini cha maana na nin haknb maana
sio kumchafua,,, ni kumtandka mteke chura, watu wanadhania ccm wanajutia ,,,mi sidhan, wangejuta kama angekuwa ccm. ndoto na mikakat ya maswahba isingetimia ndan ya ccm. tunapoteza mda kunangana wakati watu walishasoma nyakat na kick ilikuwa hyo tu ili ndoto ya mtu itimie,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.