Recent content by J.I.M.S1237

  1. J

    Kesi ya ugoni/uzinzi

    ni mawili:asamehe au ampe talaka maana hakuna kosa linalohalalisha talaka zaid ya hlo,ila mchakato wa talaka ni mref-inaonesha sheria imetungwa kutorahsisha talaka..
  2. J

    Wapo wengi watapishana na mafisadi ndani ya CHADEMA, watatoka wengi sana

    Haya kwa sasa hayana nguvu, sheria ni yetu tumetnga wenyewe kwann tushndwe kuirekebisha ikiwa panahtaj la kufanya hvyo? maamuz n ya wananch sio viongoz ,kama viongoz wamefanya sisi tukapata maelezo na kuona wapo sahh ..Hakuna haja ya kupoteza nguvu, tusubir tar 25
  3. J

    Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

    unatisha daaa!!
  4. J

    Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

    mi sioni hoja kuwa upnzan utakufa au ccm kwakuwa waamuz ni sisi, vyote sawa kwakuwa tnahtaj uongoz uwepo, haya matusi,kejel nk ni mbwembwe ktk kpind hki. kama mtu anaona mbele gza aamue anafanyaje...Lakn ni dhambi kuamua ili uendelee kuwaumiza wengne
  5. J

    ACT-Wazalendo na ujumbe kwa wafanyabiashara

    Kwa Wengne Hawajui Vita Inahusu Nin, Nan Adui Na Nan Mkombozi,nan Kaja Kwa Maslah Na Nan Alipgana Kwa Maslah Ya Wengi,,,hata Kama Tunataka Mabadliko Tuangalie Na Muongoza Mapinduz,,,historia Ni Mwalimu Mkuu,,, Enl Anaipenda Ccm Ndo Mana Alikubali Kuomba Kuteuliwa Na Chama Chake,, Hof Ipo...
  6. J

    Mnaoipenda CCM Nisikilizeni kwa makini sana

    Kwahyo jf n wanasiasa wenye maslah navyama au mifumo yao ndo tnahangaika humu? ni maslah gan? bnafs au taifa?
  7. J

    Kamanda Lowassa: CCM ni hodari kwa kuiba kura

    wanaenda mafchon hao kwan hawakujua walishndaje mwanyo-anaeua kwa upanga atakufa kwa upanga....Bora kuiba kuliko kuibiwa ....Halaf watu kama hao tnawaitaje kama sio wasalit?
  8. J

    Sasa nimeelewa hoja/shida ya wana-UKAWA

    mfumo huundwa na watu, sasa tunajua ccm haina mfumo kandamiz bali ni viongoz wa ccm ndo wametengeneza mfumo wao na wakaukubali umetunyonya halaf wahusika baada ya kuona hawawez kuulinda zaid wanajivka uzalendo fek na kwenda kwa makamanda wa vta dhd ya mfumo mbovu...Eti kwakuwa tu tnataka...
  9. J

    Hii ni vita kati ya Lowassa na Kikwete na sio CCM na UKAWA--NANI MSHINDI?

    sio bifu, wamepgiana pande...Unadhan tungeongea hoja gan zaid kama enl angepitishwa na ccm? ingekuwa vp?
  10. J

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    tetes tu watu wanawaka ...Tusubir tuone..Unaweza kuandaa hasira halaf ukakuta ni uzush tu
  11. J

    Kamanda Lowassa: CCM ni hodari kwa kuiba kura

    kwahyo nae ameiba kwa miaka yote ya uccm wake au yeye hahusik na mtindo huo,..Duu kaz kwelikwel...Ukifundishwa kuzuia ni lazma ujue wanaibaje...Kwahyo kaz kwao viongoz kuchambua nini cha maana na nin haknb maana
  12. J

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    sio kumchafua,,, ni kumtandka mteke chura, watu wanadhania ccm wanajutia ,,,mi sidhan, wangejuta kama angekuwa ccm. ndoto na mikakat ya maswahba isingetimia ndan ya ccm. tunapoteza mda kunangana wakati watu walishasoma nyakat na kick ilikuwa hyo tu ili ndoto ya mtu itimie,
  13. J

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    mi naona amemsaidia, unajua isingekuwa hv dr slaa /ukawa wangetumia hoja ya ufsad kumuangusha el...Ni kama cnema hvi
Back
Top Bottom