Recent content by J BND

  1. J BND

    Rafiki yangu alimrusha mtu mwaka 2017/2018: Anamtafuta amwombe msamaha na kumlipa akikubali

    Kuna watu wapuuzi hii dunia basi tu Uchungu nilionao Mungu ndo anajua [emoji24][emoji24]. Juzi tar 19/06/2023 Nilikua nalipia ticket yangu ya ndege off to Amsterdam muda wa booking ulikua unakaribia kuisha nimebakiza 5 minutes, fare yangu iwe cancelled nikatuma pesa mara 2, Jm travel services...
  2. J BND

    Kampeni ya kataa ndoa

    Kwani ndoa ndo inaleta watoto ? Pita hivi
  3. J BND

    Kampeni ya kataa ndoa

    Kuna mwamba mwanangu sana kaoa juzi kati, siku ya harusi shemeji anatuangalia wana jicho kali baraa, baadae shemeji baada ya ukumbini mwana katufata club na Shem, Kacheza mziki ile mbaya mix kalea anakata viuno hadi chini, chupi inaonekana na hawazi wala nini ilibidi mwana akimbie tu aibu...
  4. J BND

    Kampeni ya kataa ndoa

    NAUNGA HOJA KATAA NDOA
  5. J BND

    Kwa mnaouliza ilipo Wavuvi Kempu

    Hapo wavuvi jana nimetumia 375000 sina hamu na demu akanihuge huyo kasepa na sasa hivi hapokei simu hii daslam hii. Acha tu nilale zangu tangia asubh nimekosa nguvu za kutoka hata nje
  6. J BND

    Aliyezuia huyu kijana kuokoa Marubani akamatwe

    Hivi Hamna Technical ya kutengeneza ndege zote ziwe na Mfumo ikipata ajali hasa ikiwa ni baharini, ziwani au mtoni ikaelea kama boya
  7. J BND

    Nifanyeje? Eti sasa hivi baba ndiyo anarudisha upendo kwangu

    Wakuu hii mada imekuja wakati muafaka sana, nisiwachoshe sana acha nieleze kidogo mimi ni muhanga wa hili jambo. Sisi tumezaliwa watoto 7 kwa baba na mama mmoja, ukituona tu unajua hawa ni ndugu wa baba na mama mmoja. Mwishoni mwa miaka ya 90 mzee wetu aliondoka home mdogo wetu wa mwisho ndo...
  8. J BND

    Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Mura umughaka tasho mura torakoghanya sana
  9. J BND

    Piariz Hizza adaiwa kunyongwa na mumewe mpaka kufariki dunia

    Mimi mke wangu nilikua nampenda sana tena sana, mapenzi yasikieni tu, tukabahatika kupata watoto wawili. Wa kwanza nikaona mapicha picha, wa pili mimi mtupu. Nikasema nikajiridhishe DNA nilichokutana nacho na roho ilivyoniuma nilitamani kuua ila nikaishinda nafsi nikaapa sitampiga au kumgusa kwa...
  10. J BND

    Kaulizi hizi zimeumiza wengi,ziepuke

    Mimi huwa nakutana na mtu lazima aseme msalimie shemeji. mpumbavu yule now analiwa na rafiki yangu wanawake [emoji119][emoji119]
  11. J BND

    Tabia ya wazazi kukataa wachumba kisa ukabila ikomeshwe

    Ahsante Mkuu niliumia sana kwa wiki moja tu nikatoa sadaka now nimepata amani. Nimejifunza mwanamke akikwambia I love You fikiria Mara 2 same time ni anasema i hate you
  12. J BND

    Tabia ya wazazi kukataa wachumba kisa ukabila ikomeshwe

    Mimi naunga hoja ya wazazi yalinikuta....Mwaka 2017 nilipeleka mchumba home. Binti wa ukanda huu huu wa pwani mtoto mashallah mstaarabu haswa, wazazi Wangu wakakataa kata kata.. nikaona isiwe tabu nikaanza vikao kimyakimya Mwishowe nikavunja kamati.. nikaamua kuoa ndoa ya watu wachache tu...
Back
Top Bottom