Wabobezi na wabobevu wa falsafa, sosholojia, na saikolojia wa TEC wamemuelewesha kuhusu mambo yajayo ndani na nje ya chama chake.
Hatma yake ipo mikononi mwake mwenyewe. Madaraka aliyonayo ni kama vazi la kuazima, muda ukifika halitaweza kumsitiri tena. Kesho yake hauijui bali aibu, fedheha, na...