Mkuu hizo ni "secret society symbols or gestures" . Illuminati members hujitambulisha kwa alama tofauti ya vidole vya mikono yao pale wawapo katika "posture" tofauti.
Jambo kubwa na la kushangaza juu ya maneno ya huyu mbunge yaliachwa na Naibu Spika bila onyo lolote lile na kuingia katika "Hansard" zaidi ya kumtaka ajikite katika hoja iliyokuwapo mezani. Naibu Spika hakutatizwa kabisa na maneno ya huyu Mzanzibari.
Kanuni za Bunge zinataka heshima kwa...
Huyu biahara yake ya viroba vya pombe kali iliathiriwa vibaya sana na yale yaliyojiri wakati na baada ya MO29.
Itakuwa bado yupo Mndenyi akijiuliza kwa matambiko ya Kichaga.
Mbowe ni mfanyabiashara na hajiusishi tena na "active politics" za CDM zaidi ya kuwa ni mshauri tu. Nii lazima aheshimike kama Mwenyekiti Taira mstaafu wa chama aliyejitolea muda wake na rasilimali zake nyingi katika kukijenga chama hiki mpaka hapa kilipofikia hii leo.
Mbona ni kitambo sana alikwishaingia katika kumbukumbu chafu ya kihistoria akiwa ndiye "proper replacement" ya mfalme Mangungo wa Msovero na pia akiwa na sifa ya ziada ya mwanamke aliye muuaji maarufu barani Afrika.
Ndiyo! Chakula anaweza asikose, lakini hana raha wala amani moyoni mwake. Amekata tamaa hata ukiangalia "body language" yake.
Nambua hapo alipo hapati usingizi mzuri zaidi ya majinamizi ndotoni mwake. Mwisho wa maisha yake utakuwa mbaya sana. Gonjwa moja tu chali. Pole yake.
Huyu mwanamke anajitoa tu ufahamu, Bado ana mawenga ya damu zinazomlilia.
Hao wananchi anaowamainisha watakuwa ni ndugu zake, watoto wake, shoga zake, shemeji zake, wakwe, zake, na jamaa zake wa karibu.
Uchawa unakufanya uwe na upofu akilini mwako hata kuweza kubaini yale yaliyokuwa bayana..
Wewe ulitegemea kumuona huyo chinja chinja akiwa amebeba bunduki mtaani na kuuwa? Kupitia kauli zake, "order" zake haramu za wazi au kificho ndipo mauji hutekelezwa na magenge yake ya mauaji.
Tatizo lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.