Recent content by Izato

  1. Izato

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Mtizamo wa Prof. Tibaijuka ni sawa na ule wa Jaji Warioba, Balozi Polepole, Askodu Gwajima, Simbachawene, Dr. Nchimbi, ni wazi kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya uwanda wa kisiasa hapa nchini hivi sasa. Bunge haliaminiki, serikali na vyombo vyake vya dola ndiyo hata usithubutu kusema,, mahakama...
  2. Izato

    Mufti ataka Rais Samia aombewe

    Inampasa atubu na kujutia dhambi zake na ajiombee yeye mwemyewe.
  3. Izato

    Nikama baada ya kudakwa kule Kenya watekaji wamekula pozi kidogo

    Wanangojea vipindi vya mfungo wa ramadhani na kwaresma vipite kwanza. hukumbuki kuwa Shetani naye alisilimu?
  4. Izato

    Kwanini Watanzania wengi hawana furaha?

    Sababu kubwa ya kukosa raha kwa Watanganyika ni kutokana na utawala mbovu wa CCM. Hik chama ni mama wa machukizo na mouvu yote yaliyopo hapa nchimi.
  5. Izato

    Hivi Chadema bado ipo?

    Mumeo kila akikuzingua stresses zako zote zinaishia kupandisha uzi wa kipuuzi. Vipi amekuzingua kuhusu matumizi ya sikukuu nini?
  6. Izato

    Tanzanian Government accuses American evangelist, Dr. Dana Morey, of promotion of same-sex relationships

    Wanaume wengi tu blind in colour. Lakini rangi hizo katika kipeperushi sioni kama zinafanana na zile za upinde wa mvua. Ujumbe wa Maisha Mapya si mgeni masikioni mwa watu wengi wenye imani thabiti. Mimi kwa upande wangu natafsiri ni kuacha kutenda dhbmbi na kutii amri za Mungu. Sasa huyu...
  7. Izato

    Bila kutangazwa Tenda waarabu wapewa Bandari, Ngorongoro, Mwendokasi na KIA

    Kwa jinsi mfalme Mangungo anavyokumbukwa katika historia kutokana na kufanya maamuzi makubwa na ya hovyo kuendana na ukilaza wake, bila shaka hata huyu Bibi Tarabushi naye ameingia katika historia kama hiyo. Muda utakuja kuongea.
  8. Izato

    Mfumo wa Muungano wa Tanzania unaweza kuwa suluhisho la kudumu la mgogoro wa Israeli na Palestine

    Abraham Accord chini ya The Board of Peace italeta suluhu ya mgogoro kati ya Israeli na Palestina, pamoja na mataifa mengine ya Kiarabu.. Jared Kushner anakwenda kuibuka kuwa mtu pekee ambaye amefanikisha jambo hili kubwa. Lakini baada ya hapo utakuja wakati wa hatari sana katika historia ya...
  9. Izato

    Heche adai mahakama inatumika kumkandamiza Lissu

    Watawala wameshupaza shingo zao kwa kuwa hawatambui kuwa wao pia ni wafungwa watarajiwa kwa uovu wa matendo yao.
  10. Izato

    Hii kauli imeshangaza wenye akili. Kwamba ukifungwa kwa jinai na ukawa na koneksheni na Makonda unaachiwa huru!

    Rostam Aziz alishawahi kusema kuwa mahakama ipo compromised kwa watawala.
  11. Izato

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Ilikuwa kutokana na hofu juu ya BAWACHA kuweza kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Inteijensia ya Polisi ilionyesha eti Ujumbe waliokuwa nao ungeleta taharuki. ndani ya CCM
  12. Izato

    TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    May his soul rest in peace. 🙏
  13. Izato

    PreGE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

    Unatambua mtu kijana ni mwemye umri upi? Na katiba yetu inamtaka mgombea wa ursis awe na umri usiopungua umri wa miaka mingapi? Hao uliowataja hapo juu, ifikapo mwaka 2030 watakuwa na umri wa kati na wengine watakuwa ni wazee wa miaka ya hamsini na sitini.
  14. Izato

    Nimelia jinsi Iran inavyopigwa mabomu

    Kilichobakia ni kuubomoa msikiti ili lijengwe hekalu la tatu la Wayahudi.
Back
Top Bottom