Recent content by Izato

  1. Izato

    JamiiForums Tanzania Kama ukikaa halafu unajikuta unafanya hivi mikono basi tambua una spirit ya utajiri wa mali ndani yako

    Mkuu hizo ni "secret society symbols or gestures" . Illuminati members hujitambulisha kwa alama tofauti ya vidole vya mikono yao pale wawapo katika "posture" tofauti.
  2. Izato

    JamiiForums Tanzania Baada ya CCM kumkana tamko lake la "Yuda", Simai lazima avuliwe uanachama

    Ukiona kifaranga cha kuku kimekaa juu ya mtungi wa maji, basi utambue kuwa mama yake yupo happ karibu naye.
  3. Izato

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Baada ya kufanikiwa kuingiza container la silaha, sasa amegeukia dili la sumu ya "polonium"
  4. Izato

    JamiiForums Tanzania Huyu Simai katumwa?-The Zanzibari Collusion

    Jambo kubwa na la kushangaza juu ya maneno ya huyu mbunge yaliachwa na Naibu Spika bila onyo lolote lile na kuingia katika "Hansard" zaidi ya kumtaka ajikite katika hoja iliyokuwapo mezani. Naibu Spika hakutatizwa kabisa na maneno ya huyu Mzanzibari. Kanuni za Bunge zinataka heshima kwa...
  5. Izato

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Acha mvua izidi kunyesha ndani ya mbogamboga ili tuone panapovuja 👀😩🙌
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Huyu biahara yake ya viroba vya pombe kali iliathiriwa vibaya sana na yale yaliyojiri wakati na baada ya MO29. Itakuwa bado yupo Mndenyi akijiuliza kwa matambiko ya Kichaga.
  7. Izato

    JamiiForums Tanzania Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    Mbowe ni mfanyabiashara na hajiusishi tena na "active politics" za CDM zaidi ya kuwa ni mshauri tu. Nii lazima aheshimike kama Mwenyekiti Taira mstaafu wa chama aliyejitolea muda wake na rasilimali zake nyingi katika kukijenga chama hiki mpaka hapa kilipofikia hii leo.
  8. Izato

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Mbona ni kitambo sana alikwishaingia katika kumbukumbu chafu ya kihistoria akiwa ndiye "proper replacement" ya mfalme Mangungo wa Msovero na pia akiwa na sifa ya ziada ya mwanamke aliye muuaji maarufu barani Afrika.
  9. Izato

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    Unasema tume? Tume ambazo ripoti zake ni mali yake binafsi!?
  10. Izato

    JamiiForums Tanzania Hakuna Siku Katika Maisha ya Rais Samia Hapa Duniani Patakosekana Chakula Mezani Pake. Ukiiombeya Mabaa Tanzania Humkomoi Hata Kidogooooo

    Ndiyo! Chakula anaweza asikose, lakini hana raha wala amani moyoni mwake. Amekata tamaa hata ukiangalia "body language" yake. Nambua hapo alipo hapati usingizi mzuri zaidi ya majinamizi ndotoni mwake. Mwisho wa maisha yake utakuwa mbaya sana. Gonjwa moja tu chali. Pole yake.
  11. Izato

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wananchi wenyewe wasimamie usalama wao, na waamini Jeshi la Polisi ni sehemu na kimbilio la shida zao

    Huyu mwanamke anajitoa tu ufahamu, Bado ana mawenga ya damu zinazomlilia. Hao wananchi anaowamainisha watakuwa ni ndugu zake, watoto wake, shoga zake, shemeji zake, wakwe, zake, na jamaa zake wa karibu.
  12. Izato

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hii Inaonesha Lissu Kajikatia Tamaa Kabisa na Kuvurugwa akili. Jela ni Mwalimu Hodari asiyefelisha Masomo Yake

    Kumbuka kila mtu ni mahabusu ama mfungwa mtarajiwa "sky is the limit"
  13. Izato

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Uchawa unakufanya uwe na upofu akilini mwako hata kuweza kubaini yale yaliyokuwa bayana.. Wewe ulitegemea kumuona huyo chinja chinja akiwa amebeba bunduki mtaani na kuuwa? Kupitia kauli zake, "order" zake haramu za wazi au kificho ndipo mauji hutekelezwa na magenge yake ya mauaji. Tatizo lako...
  14. Izato

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwapokee wageni lakini iishi nao kwa akili, Lissu alitokea NCCR - Mageuzi leo ni Mkiti wa CHADEMA Taifa

    Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi wanatakiwa kukatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
  15. Izato

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini pale wanaporudi wanatakiwa kukatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
Back
Top Bottom