Ndiyo! Chakula anaweza asikose, lakini hana raha wala amani moyoni mwake. Amekata tamaa hata ukiangalia "body language" yake.
Nambua hapo alipo hapati usingizi mzuri zaidi ya majinamizi ndotoni mwake. Mwisho wa maisha yake utakuwa mbaya sana. Gonjwa moja tu chali. Pole yake.
Huyu mwanamke anajitoa tu ufahamu, Bado ana mawenga ya damu zinazomlilia.
Hao wananchi anaowamainisha watakuwa ni ndugu zake, watoto wake, shoga zake, shemeji zake, wakwe, zake, na jamaa zake wa karibu.
Uchawa unakufanya uwe na upofu akilini mwako hata kuweza kubaini yale yaliyokuwa bayana..
Wewe ulitegemea kumuona huyo chinja chinja akiwa amebeba bunduki mtaani na kuuwa? Kupitia kauli zake, "order" zake haramu za wazi au kificho ndipo mauji hutekelezwa na magenge yake ya mauaji.
Tatizo lako...
Mkuu Paskali, mimi kwa mtazamo wangu naomba nitofautiane na wewe. Naamini ya kwamba kutokana na andiko lako unakubaliana na kuunga mkono harakati za "feminism"
Jambo moja la hatari unalopaswa kufahamu kuhusiana na harakati hizi za "feminism" ni zaidi ya usawa wa kijinsia bali ni kuzidi...
Ama kwa hakika madaraka hulevya. Inafedhehesha sana pale mtu aliyepewa nafasi ya uongozi wa juu serikalini anapojitoa ufahamu kuhusu uwepo wa kero ya utekaji iliyotamalaki kwa kiwango cha juu katika utawala wa Samia Suluhu.
Kwa makusudi kabisa anasema kwa dharau na kebehi, eti sister katekwa...
Ni katika utawala huu pekee wa Samia kesi za uhaini zinafunguliwa hovyo hovyo tu pasipo hata ya kuwa na ushaidi, na bila ya kujali ukubwa wa jinai hii pekee inayotajwa ndani katiba ya nchi.
Yaani jeshi la polisi na ofisi ya DPP zimekubali kutumika vibaya bila weledi ili tu kudhibiti hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.