Recent content by Izato

  1. Izato

    JamiiForums Tanzania Hakuna Siku Katika Maisha ya Rais Samia Hapa Duniani Patakosekana Chakula Mezani Pake. Ukiiombeya Mabaa Tanzania Humkomoi Hata Kidogooooo

    Ndiyo! Chakula anaweza asikose, lakini hana raha wala amani moyoni mwake. Amekata tamaa hata ukiangalia "body language" yake. Nambua hapo alipo hapati usingizi mzuri zaidi ya majinamizi ndotoni mwake. Mwisho wa maisha yake utakuwa mbaya sana. Gonjwa moja tu chali. Pole yake.
  2. Izato

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wananchi wenyewe wasimamie usalama wao, na waamini Jeshi la Polisi ni sehemu na kimbilio la shida zao

    Huyu mwanamke anajitoa tu ufahamu, Bado ana mawenga ya damu zinazomlilia. Hao wananchi anaowamainisha watakuwa ni ndugu zake, watoto wake, shoga zake, shemeji zake, wakwe, zake, na jamaa zake wa karibu.
  3. Izato

    JamiiForums Tanzania PICHA: Hii Inaonesha Lissu Kajikatia Tamaa Kabisa na Kuvurugwa akili. Jela ni Mwalimu Hodari asiyefelisha Masomo Yake

    Kumbuka kila mtu ni mahabusu ama mfungwa mtarajiwa "sky is the limit"
  4. Izato

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Uchawa unakufanya uwe na upofu akilini mwako hata kuweza kubaini yale yaliyokuwa bayana.. Wewe ulitegemea kumuona huyo chinja chinja akiwa amebeba bunduki mtaani na kuuwa? Kupitia kauli zake, "order" zake haramu za wazi au kificho ndipo mauji hutekelezwa na magenge yake ya mauaji. Tatizo lako...
  5. Izato

    JamiiForums Tanzania CHADEMA iwapokee wageni lakini iishi nao kwa akili, Lissu alitokea NCCR - Mageuzi leo ni Mkiti wa CHADEMA Taifa

    Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi wanatakiwa kukatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini pale wanaporudi wanatakiwa kukatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
  7. Izato

    JamiiForums Tanzania Patrick Assenga arejea CHADEMA akitokea CHAUMMA

    Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi watakatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
  8. Izato

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere adai yeye ni mkubwa kuliko Chadema, Je amerukwa na akili?

    Never argue with a fool, onlookers may not notice the difference
  9. Izato

    JamiiForums Tanzania Je, Wajua Japo Baba ni Kichwa cha Nyumba, Mama Anaweza Kugeuka Kichwa Akawa Baba? Wajua Rais Samia ni Kichwa kama Baba?

    Mkuu Paskali, mimi kwa mtazamo wangu naomba nitofautiane na wewe. Naamini ya kwamba kutokana na andiko lako unakubaliana na kuunga mkono harakati za "feminism" Jambo moja la hatari unalopaswa kufahamu kuhusiana na harakati hizi za "feminism" ni zaidi ya usawa wa kijinsia bali ni kuzidi...
  10. Izato

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa aliondoka CHADEMA kwa kukosa Cheo na anaondoka CCM kwa kukosa Cheo na anarudi CHADEMA kusaka Cheo

    Mmojawapo wa masusi waloitumwa ndani ya CCM kuusoma mchoro wa vita. CCM sasa hivi imeshaingia katika mfumo wa CDM
  11. Izato

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Ama kwa hakika madaraka hulevya. Inafedhehesha sana pale mtu aliyepewa nafasi ya uongozi wa juu serikalini anapojitoa ufahamu kuhusu uwepo wa kero ya utekaji iliyotamalaki kwa kiwango cha juu katika utawala wa Samia Suluhu. Kwa makusudi kabisa anasema kwa dharau na kebehi, eti sister katekwa...
  12. Izato

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Hayo yote ni mahaba ya nguchiro wa CCM kwa nguchiro mwenzao.
  13. Izato

    JamiiForums Tanzania Golugwa: Nilimpigia simu Mafwele akaniambia, Djumbe (Msaidizi wa Lissu) yuko hapo amefungwa pingu! Nikamuuliza umejuaje amefungwa pingu?

    Hapana, huyo ni concubine wa mama yako. Mbona hata baba yako anamtambua pamoja na ndugu zako? Acha kutuzuga mkuu.
  14. Izato

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyesema Rais Samia ajiuzulu kabla ya Disemba 9, Dkt. Malisa aachiliwa huru, Mahakama yamfutia kesi ya Uhaini

    Ni katika utawala huu pekee wa Samia kesi za uhaini zinafunguliwa hovyo hovyo tu pasipo hata ya kuwa na ushaidi, na bila ya kujali ukubwa wa jinai hii pekee inayotajwa ndani katiba ya nchi. Yaani jeshi la polisi na ofisi ya DPP zimekubali kutumika vibaya bila weledi ili tu kudhibiti hoja...
  15. Izato

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA kwa hizi Tume mbili haifai tuamini hakutoa amry yamauaji ILA aliujumiwa na hasio wajua?

    The last kicks of the dying donkey.
Back
Top Bottom