Mtizamo wa Prof. Tibaijuka ni sawa na ule wa Jaji Warioba, Balozi Polepole, Askodu Gwajima, Simbachawene, Dr. Nchimbi, ni wazi kuwa kuna tatizo kubwa ndani ya uwanda wa kisiasa hapa nchini hivi sasa.
Bunge haliaminiki, serikali na vyombo vyake vya dola ndiyo hata usithubutu kusema,, mahakama...
Wanaume wengi tu blind in colour. Lakini rangi hizo katika kipeperushi sioni kama zinafanana na zile za upinde wa mvua.
Ujumbe wa Maisha Mapya si mgeni masikioni mwa watu wengi wenye imani thabiti. Mimi kwa upande wangu natafsiri ni kuacha kutenda dhbmbi na kutii amri za Mungu.
Sasa huyu...
Kwa jinsi mfalme Mangungo anavyokumbukwa katika historia kutokana na kufanya maamuzi makubwa na ya hovyo kuendana na ukilaza wake, bila shaka hata huyu Bibi Tarabushi naye ameingia katika historia kama hiyo. Muda utakuja kuongea.
Abraham Accord chini ya The Board of Peace italeta suluhu ya mgogoro kati ya Israeli na Palestina, pamoja na mataifa mengine ya Kiarabu.. Jared Kushner anakwenda kuibuka kuwa mtu pekee ambaye amefanikisha jambo hili kubwa.
Lakini baada ya hapo utakuja wakati wa hatari sana katika historia ya...
Ilikuwa kutokana na hofu juu ya BAWACHA kuweza kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani
Inteijensia ya Polisi ilionyesha eti Ujumbe waliokuwa nao ungeleta taharuki. ndani ya CCM
Unatambua mtu kijana ni mwemye umri upi? Na katiba yetu inamtaka mgombea wa ursis awe na umri usiopungua umri wa miaka mingapi?
Hao uliowataja hapo juu, ifikapo mwaka 2030 watakuwa na umri wa kati na wengine watakuwa ni wazee wa miaka ya hamsini na sitini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.