Dr wa Manesi, ni kwa maana ya debit side wa manesi, ama nini hasa! Ama tuseme dereva wa manesi hapo itakuwa ni afadhali kidogo!
Nenda kafue boxer za mumeo, ili angalau akupe credit (Cr) badala ya kuzidi kukupa debit (Dr).
Kwa kile unachokiandika hapa jukwaani naogopa kukupa hadhi ya "Doctor"...
Badala ya kuzuia watu wasimkumbatie hovyo hovyo mjane akiwa kwenye "iddah" yeye analilia rambirambi kutoka kwa viongozi wa CHADEMA ili waziweke picha hadharani kusudi wazitumie kufanya propaganda ya hadaa kuhusu maridhiano.
Jamaa Wicknell Chivayo linakumbatia mjane wao wanakodoa macho tu...
Mkuu Paskali, sidhani kama ni busara na hekima kwako kumnyooshea Mungu mkono wa lawama.
Natambua wewe upo kwenye muelekeo wa imani ya Kikristo, na unatambua vyema kuhusu mpango mzima wa ukombozi wa mwanadamu toka anguko la Adamu pale Edeni mpaka kufikia kifo cha Yesu Kristo pale msalabani...
Ilianza kwa Heche kusingiziwa kula michango ya CDM wapambe wakalishikia njuga likapita, likaja jingine eti Heche hataki maridhiano ili Mwenyekiti Lissu aendelee kusota gerezani lakini Lissu mwenyewe akawaumbua hadharani na kusema azidi kuwa pelekea moto.
Sasa limekuja nalo hili ambalo si jipya...
Deadline zilizotolewa na Commonwealth Ministerial Group Action (CMGA)
Siku 30 ✅
Siku 60 ❎
Siku 90 ❎
Kikao kingine kinakaribia kujadili hatma ya Tanzania kupitia deadline hizo 3. Serikali imekauka kama vile hakuna chochote kile ambacho kinapaswa kufanyika, na bila aibu imeogeza ugoro mwingine...
Kwa sheria ya Tanzania ndani ya Kanuni ya Adhabu, Penal Code Cap. 16 hiyo inaitwa Kutoa Vitisho ili kumjengea mtu uoga au kula Rushwa kwa vitisho.
Kifungu muhimu: Kifungu cha 302 na 303
1. Kutoa vitisho kwa lengo la kupata mali/pesa ni kosa la jinai
2. Adhabu Inaweza kufika miaka 14 jela kama...
Wazee kama Warioba wanapaswa wajiunge kwenye mikutano kama hii kwa njia ya "Google meeting".
Pamoja na umuhimu wake katika mijadala kama hii, lazima taratibu zifanywe ili ashiriki akiwa yupo nyumbani kwake.
Rais wa nchi ni zao la katiba, kwa hiyo basi yeye binafsi ndiye pekee anatambulika kwa mamlaka yake yaliyowekwa kikatiba na si vinginevyo.
Masuala mengine yamhusuyo mwenza wake, yaani "spouse" yanatajwa katika sheria nyingine za nchi na itifaki zake ikiwemo suala la kifo.
Hivi the late first gentleman ameacha wake wa ndoa wangapi?
Katika dini ya Kiislamu mtalaka naye anahesabiwa kama mjane endapo aliyekuwa mumewe akifariki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.