Recent content by Izato

  1. Izato

    JamiiForums Tanzania Kwanini UVCCM hawaonekani siku ya Leo kufanya kongamano la vijana?

    Vikao vya wachawi hufanyika gizani.
  2. Izato

    JamiiForums Tanzania Habari za Udukuzi.....

    Wabobezi na wabobevu wa falsafa, sosholojia, na saikolojia wa TEC wamemuelewesha kuhusu mambo yajayo ndani na nje ya chama chake. Hatma yake ipo mikononi mwake mwenyewe. Madaraka aliyonayo ni kama vazi la kuazima, muda ukifika halitaweza kumsitiri tena. Kesho yake hauijui bali aibu, fedheha, na...
  3. Izato

    JamiiForums Tanzania Enzi za jiwe, tuliogopa kuchunguza vyeti "FEKI" kwenye majeshi yetu, kuofia kutengeneza majambazi mtaani, Nina wasi wasi huyu shahidi na yule alie kuf

    Huyu wataanzia wapi!? Wakati huku yupo Madelu na kule kuna Bashite? Napata mashaka hata jina la namba moja huenda ni Zaituni "Da Zuu" hilo analotumia ni famba tu.
  4. Izato

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaalika Watu wote Duniani kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu 10/08/2026, yumo Martha Karua wa Kenya aliyewahi kuzuiwa na serikali ya Tanzania

    Hii ndiyo siku ambayo Iilikuwa deadline za zile siku 30 zilizotolewa na CMGA! Nyeti za mtetea zi hadharani kwa upepo mdogo tu wa kipupwe.
  5. Izato

    JamiiForums Tanzania Heche ni mtu mwenye mawazo ya ajabu sana! maridhiano ni lazima yatafanyika!...

    Kwani ilikuwaje wakati wa uchafuzi mkuu wa October 2025? Tume ya uchaguzi kwa hila ilikiengua CDM, na CCM ikashiriki na hivyo vyama vingine 18? Je! Zoezi la uchafuzi likawaje? Viongozi wakuu wa chama kikuu cha kisiasa hapa nchini wakawekwa korokoroni Amri haramu ikatolewa ya kukisimamisha chama...
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Hongera Dr. Samia Suluhu Hassan kwa mkataba wa ujenzi wa Petroleum Refinary Tanga

    Mkuu unaiamini kabisa mikataba ya siri ya ki Mangungo? Watawala hawa hawaaminiki hata kidogo. Kama hadharani hawaoni haya kusema uwongo, sembuse itakuwa kifichoni.
  7. Izato

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia hapa Kafeli kabla ya kuanza.. Eti tume imchunguze halafu impe ripoti🤣

    New chief Mangungo still in the making.
  8. Izato

    JamiiForums Tanzania MUNGU ni mmoja tu, hana mtoto, hakuzaa wala hakizaliwa wala hafanani na yeyote yule

    Mkuu sema kutokana na imani yako ya kidini ndivyo unavyoamini hivyo. Ndiyo maana hata nukuu unazitoa kwa mkutadha wa kitabu cha dini yako. Lakini tambua ya kuwa umekuwa na imani hiyo kwa sababu za kimazingira na kiikolojia. Mazingira yame ku shape kutokana na kizazi ulichotokea, yaani kuzaliwa...
  9. Izato

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anakataa baba yangu kufikia nyumbani kwetu kila anapokuja mjini, nifanyaje?

    Umeoa feminist, tayari ameshakupoka uongozi wa familia yako. Yeye ndiye kichwa cha familia yako. Ukweli mchungu ni kuwa nahisi hata hao watoto inawezekana si wako wa damu! Na si wajukuu halisi wa baba yako! Kafanye vipimo vya DNA kwanza ndipo uchukue hatua zaidi. Zingatia ushauri huu.
  10. Izato

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Misaada na mikopo tuliyoizoea inaendelea kuondoka, tukaze buti

    Eti, "who're you", utakula jeuri yako! Mugabe alikuwa na jeuri kama yako, angalia pale alipoifikisha nchi ya Zimbabwe.
  11. Izato

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    Kuna mkuu ameandika uzi humu ndani kuwa barua iko tayari.
  12. Izato

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kwake ni Muhimu kabla ya 13:08:2026

    Ninuse ninuke?
  13. Izato

    JamiiForums Tanzania Prof. Kitila Mkumbo: Vikwazo vya misaada haviwezi kufanya kazi

    Ana sifu na kuabudu kwa pambio za hadithi za sungura za sizitaki mbichi hizi. Historia itamkumbuka kama profesa aliyeishauri serikali ienende kwa kukumbatia sera za Chifu Mangungo wa Msovero.
Back
Top Bottom