Recent content by Izato

  1. Izato

    JamiiForums Tanzania Orodha ya maneno na misemo ya kutumia msibani - Ukienda tofauti unaweza pelekwa jela

    POLENI TU JAMANI, ILA JAMAA LILIKUWA JITU BAYA SANA, AFADHALI ALLAH KAFANYA VITU VYAKE
  2. Izato

    JamiiForums Tanzania Kuna Maiti inadaiwa kuokotwa kwenye mtaro, Mwenge Coca-Cola road mkabala na Natai Plaza ikiwa imetolewa macho

    Hali ni mbaya sana maiti ya bodaboda wa Arusha pia ilitobolewa macho na kukutwa imetelekezwa kupitia taarifa iliyotolewa humu wiki iliyopita!
  3. Izato

    JamiiForums Tanzania AI: Lissu akifungwa kwa uhaini kutakuwa na taharuki kubwa, maandamano na vurugu za kiusalama.

    Dr wa Manesi, ni kwa maana ya debit side wa manesi, ama nini hasa! Ama tuseme dereva wa manesi hapo itakuwa ni afadhali kidogo! Nenda kafue boxer za mumeo, ili angalau akupe credit (Cr) badala ya kuzidi kukupa debit (Dr). Kwa kile unachokiandika hapa jukwaani naogopa kukupa hadhi ya "Doctor"...
  4. Izato

    JamiiForums Tanzania CCM wanalilia salamu za rambirambi kutoka CHADEMA.

    Badala ya kuzuia watu wasimkumbatie hovyo hovyo mjane akiwa kwenye "iddah" yeye analilia rambirambi kutoka kwa viongozi wa CHADEMA ili waziweke picha hadharani kusudi wazitumie kufanya propaganda ya hadaa kuhusu maridhiano. Jamaa Wicknell Chivayo linakumbatia mjane wao wanakodoa macho tu...
  5. Izato

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Mkuu Paskali, sidhani kama ni busara na hekima kwako kumnyooshea Mungu mkono wa lawama. Natambua wewe upo kwenye muelekeo wa imani ya Kikristo, na unatambua vyema kuhusu mpango mzima wa ukombozi wa mwanadamu toka anguko la Adamu pale Edeni mpaka kufikia kifo cha Yesu Kristo pale msalabani...
  6. Izato

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Ilianza kwa Heche kusingiziwa kula michango ya CDM wapambe wakalishikia njuga likapita, likaja jingine eti Heche hataki maridhiano ili Mwenyekiti Lissu aendelee kusota gerezani lakini Lissu mwenyewe akawaumbua hadharani na kusema azidi kuwa pelekea moto. Sasa limekuja nalo hili ambalo si jipya...
  7. Izato

    JamiiForums Tanzania AI: Lissu akifungwa kwa uhaini kutakuwa na taharuki kubwa, maandamano na vurugu za kiusalama.

    Deadline zilizotolewa na Commonwealth Ministerial Group Action (CMGA) Siku 30 ✅ Siku 60 ❎ Siku 90 ❎ Kikao kingine kinakaribia kujadili hatma ya Tanzania kupitia deadline hizo 3. Serikali imekauka kama vile hakuna chochote kile ambacho kinapaswa kufanyika, na bila aibu imeogeza ugoro mwingine...
  8. Izato

    JamiiForums Tanzania In Tz activism activismus pro justitia was hitherto executed with profound peritia and modus operandi of erudite professionalism until circa 2022

    Mzee is incognito, seeing Mzee means death 😩👀🥺
  9. Izato

    JamiiForums Tanzania Spy Catcher: Kuna Ujumbe wa siri ulitolewa hapa na Dkt; Nchimbi kabla Kujiuzulu kwake. | Code +255

    Mleta mada amechagiza kwa kuandika "It's F****ng too late to catch the moving train",
  10. Izato

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Mbuyu umeanguka?
  11. Izato

    JamiiForums Tanzania CCM na Wassira, tuelezeni Nchimbi yuko wapi?

    CCM ni ile ile, Nchimbi itakuwa wamem Abdul Jumbe sehemu fulani
  12. Izato

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kwa sheria ya Tanzania ndani ya Kanuni ya Adhabu, Penal Code Cap. 16 hiyo inaitwa Kutoa Vitisho ili kumjengea mtu uoga au kula Rushwa kwa vitisho. Kifungu muhimu: Kifungu cha 302 na 303 1. Kutoa vitisho kwa lengo la kupata mali/pesa ni kosa la jinai 2. Adhabu Inaweza kufika miaka 14 jela kama...
  13. Izato

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba aishiwa nguvu na kudondoka wakati anahutubia leo Septemba 7, 2026

    Wazee kama Warioba wanapaswa wajiunge kwenye mikutano kama hii kwa njia ya "Google meeting". Pamoja na umuhimu wake katika mijadala kama hii, lazima taratibu zifanywe ili ashiriki akiwa yupo nyumbani kwake.
  14. Izato

    JamiiForums Tanzania Je Mwenza wa Rais anapofariki Msiba wake ni wa Kitaifa, na Bendera kupepea nusu Mlingoti au?

    Rais wa nchi ni zao la katiba, kwa hiyo basi yeye binafsi ndiye pekee anatambulika kwa mamlaka yake yaliyowekwa kikatiba na si vinginevyo. Masuala mengine yamhusuyo mwenza wake, yaani "spouse" yanatajwa katika sheria nyingine za nchi na itifaki zake ikiwemo suala la kifo.
  15. Izato

    JamiiForums Tanzania Ndugu zetu waislamu hebu legezeni kamba za imani, kiongozi wa kitaifa akitangulia isiwe tangazo la msiba saa nne, saa nne, saa saba maziko

    Hivi the late first gentleman ameacha wake wa ndoa wangapi? Katika dini ya Kiislamu mtalaka naye anahesabiwa kama mjane endapo aliyekuwa mumewe akifariki?
Back
Top Bottom